Habari zenu wapendwa. Kwanza kabisa nawashukuru kwa mchango wenu katika ujenzi wa taifa. Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 29. Kwa muda wa miezi kadhaa nimekuwa nikitafuta kazi bila mafanikio. Niliwahi kuomba kazi ya TUTORIAL Assistant kwenye chuo kimoja Dodoma, ila waliniita kwenye interview...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.