Recent content by RamaQ

  1. RamaQ

    Teknolojia ya kuzungumza na wafu mpango ulioshindikana

    Nukta muhimu sana akhy umeandika
  2. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Utofauti n kama nilivyozitofautisha kwenye picha mkuu
  3. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Kwa wenye shida ya miguu pia
  4. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Yakusafishia matunda kachumbari na mambo ya chumban kwa wanawake
  5. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Ya tiba n hii chini inakuwa kama ungaunga
  6. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Kwa anaehitaji kupunguza mwili atafte  cider +asali mbichi ya nyuki wadogo original kbsa achanganye ndani ya asali hyo mbichi kisha aweke  cider vinegar kiasi kama ni glas moja ndani ya lita 1 ya asali ataona asali inayeyuka kutoka kuwa nzito hadi kuwa kama maji matumizi atumie vijiko viwili...
  7. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

     cider ya tiba kwa maeneo nilipo inauzwa 34000 cjui pengine inauzwa wapi lakini inategemea na tiba unayohitaji
  8. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Ipo na  cider nyeupe kabisa
  9. RamaQ

    Jamani natafuta apple acid vinegAr

    Kuna  cider ya tiba na  cider ya kusafishia kachumbari na matunda Angalizo  cider ya tiba n kali sana tena sana hivyo haifai kunywa nyingi huyo aliekeleza kunywa glass moja ni muuwaji yafaa kutumia kwa kipimo cha kijiko
  10. RamaQ

    Tatizo lolote la PC/device

    Ahsante sana mkuu ngoja nipambane kutafuta ile usb yenye option’s
  11. RamaQ

    Tatizo lolote la PC/device

    Samahan mkuu naomba unielekeze njia ya kutoa hyo system na je nikipiga windows nyingine itaweza kufanya kazi vyema ingawa usb yake ndo inachangamoto au kama kuna njia nyingine naomba plz
  12. RamaQ

    Tatizo lolote la PC/device

    Msaada jamani na mdogo wangu alikuwa anasoma kenya [emoji1139] hivyo aliporejea alikuja na mini computers ndogo hivyo akaniachia nitumie tatizo lililonikabir n kwamba huwezi ku update kitu chochote mpaka uweke Passwoord ya Administrator Kifaa chenyewe n hiki msaada waungwana
Back
Top Bottom