Mr worldwide,
I gather he is paving a way for somebody else not him. Anajua anachokifanya. Anaiingiza serikali mkenge ili apate upenyo. Kuna mtu anaandaliwa na si yeye
My Take, Lugla anatafutiwa Zengwe na ameliingia mwenyewe. Angesoma alama za nyakati asingejihusisha na mambo ya Musiba maana yana baraka toka juu ni kweli. Namsikitikia maana naye anaondoka anytime from now. Save the date
Inawezekana huwa akiongea humuelewi au mafanikio yako yanakufanya usijali anachosema kwakuwa tayari unachotafuta ni kulindwa tu maslahi yako. Lakini kuna hili pia, huenda wewe umezoea kujipendekeza maana hizi ndo kauli za watu wa tabia hiyo.
Maskini anatia huruma! Kama anataka kujua kwanini haikuwezekana Lowassa kumshauri rais wake ajikumbushe maneno ya Magufuli juzi kati akiwa anafungua hospitali ya Loganzila, alizungumzia mambo mengi kuhusu kushindwa kubomoa jengo la Tanesco kisha akamalizia na maneno, (namnukuu): "...lakini sasa...
Le Mutuz naye aliwahi kukanusha hili swala kwa kuwa tu alilisema Lowassa!! Hawezi kuja kukanusha. Kwa kifupi Le Mutuz ni moja wa watu ambao wanaongeaga tu ahkuna kufikiri wala kupima wanachoongea. Hapo ndo utajua tofauti ya mtu anayejitegemea kimawazo na mtu anayekuwa remotedly controlled. Hili...
Yaani wewe bado uko nyuma ya wakati sana ndugu yangu. Pamoja na kutumia ndugu zako na mzee wako kuhalalisha huo uongo unaotaka kuaminisha umma, ungekuwa na akili za kuona mbele ungejua kuwa wakati wa Nyerere kulikuwa na kitu kinaitwa "de facto single party system" na sasa tuko chini ya...
Nasikia Magufuli naye ameomba kuhamia Chadema. Mpaka sasa hajakubaliwa amewekewa masharti, tusubiri hizi siku mbili tatu tutasikia jambo kubwa litatetemesha JF yote. Acha tu iwe hivyo hakuna namna sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.