Recent content by Ramadhani Sayed

  1. R

    Bulembo na Vicky Kamata wamekuja Arusha

    .........................Waziri mkuu Mizengo Peter kayanza Pinda anazo sifa zote za kuiongoza nchi yetu.. Ni mzalendo na asiyependa rushwa,mchapakazi,jasiri,asiye penda makuu(simple Man),Afya yake ni imara(fit to be a leader)msikivu na mtoto kutoka familia duni ya mkulima toka kibaoni mkoani...
  2. R

    Mizengo Pinda anafaa kuwa rais wa nchi hii

    Ukweli usiofichika kua pinda anaweza na wanaopinga wamekosa sera za maana au wanataka mzee wa richmond nini? Kweli waswahili walisema nyani haoni kundule. Mchafu anaona hata wasafi ni wachafu kama yeye hamna jema hata akija malaika gablieli hapa bongo bado mtamkosoa ni unafki tu hapa.. Tangaza...
  3. R

    2015 ni Mizengo Pinda anaestahili kuwa rais

    kiukweli anaweza ikibidi chama kimpe nafasi ashike nchi kwa weledi wake na hekima zake atatuvusha salama.. Unaweza mtoto wa mkulima.
  4. R

    Bulembo na Vicky Kamata wamekuja Arusha

    Eti etiii ??? Sijui ni kitu gani kinachomchelewesha pinda kutangaza nia hadharani kama alivyofanya kigwangala tatizo liko wapi natamani atangaze nia hata leo hakika naamini pinda anaweza aaminiwe na apewe nafasi.. Unaweza pm.
  5. R

    Bulembo na Vicky Kamata wamekuja Arusha

    si wamezoea siasa za bange wanadhani arusha yote wanavuta bange kama aliyeandika post hii..
Back
Top Bottom