nyie majamaa ndio mnafanya wote tuonekane mabwegeflani hivi. Mambo ya MoU na MAWAIDHA ya makanisani yanatuhusu nini, wewe unaona sawa khalifa kuyaibua sasa?? , we mtu wa ajabu sana, yaani wewe CCM imekuloga hadi mate yako kiasi uko tayari kuitukanisha dini kwa sababu ya CHAMA, unachumia tumbo...
WEWE UNALETA chuki waziwazi. jamani tuachieni nchi yetu tukae na amani zetu. kama kinawauma, mnajifanya nyie magangwe zaidi, nendeni huko uarabuni bana.. sisi tunafanya saida, tunafanya mikhadhara watu waje kwenye dini nyie mnaleta fujo na maneno ya kipuuzi, acheni hivyo bana.
picha hii tamu lakini.. Hapa anaisikilizia inavyopenya.. Aisee wallakh ukiangalia pale kati- keshalowa.. !!DA AISEE MAMA KAJIDHALILISHA MWENYEWE..!AIBU YA KARNE..!
unapo ongelea fedha huna akiba ya akili. tusipasuane humu majaalaba. ujinga wa kutetea vyama unachafua dini zetu na utanzania wetu. sheikh kaweka mambo sawa nyie mnajitoa akili kwa kutetea CCM. shame..!
TAMKO LA KAMATI YA MASHEIKH NA MAIMAM WA DSM KUHUSU TAMKO LA KICHOCHEZI LILILOTOLEWA NA SHEIKH KHALIFA HAMISI WA TAASISI YA IMAM BUKHAR FOUNDATION mbele ya waandishi wa habari Jumapili ya Tarehe 11-10-2015, kwenye ukumbi wa hoteli ya Trevestline Dar es Salaam.
Jina langu naitwa Alhaji Saidi...
Mzee wa watu kadiri navyomsikiliza na kuusoma Moyo wake, naona ana nia flan ya kufanya kitu cha kimaendeleo💧, kujaribu bahati yake YA kung'oa umasikini nchini.
Hana Muda wa kipuuzi wa kuwaza kisasi wala majungu wala ushirikina. Unachachawa asubuhi hadi usiku bure tu. Umasikini wa...
Leo katika pitapita zetu tulipita karibu na viwanja vya Tanganyika Packers-Kawe penye ibaada za Gwajima, mbali na idadi ya maelfu ya watu lakini miamvuli mikubwa ya TIGO Ilionekana kujaa kwenye viwanja hivi.. Mnyonge mnyongeni lakini nadhani haki kidogo mpeni.. Nadhani hii ni Kampeni kubwa kwa...
wenzetu wanafanya vitu vinavyoonekana, sisi tumekazania kufanya mambo ya aibu aibu tu.. !!tunang'ang'ania mambo ya kipuuzi yasiyutupatia ugali.. Hongereni kwa kweli.. mahakama ya Kadhi italeta nini!!!??.. badala ya kujikita kwenye elimu, Utunzi wa vitabu, tunang'ang'ania mambo ya aibu.. ai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.