Recent content by Ralfbrusn

  1. R

    JamiiForums Tanzania Sintofahamu Ajira za Walimu

    Tangazo official bado, lakini habari za usaili wala mjomba ake na usaili hazipo tena , kaa kwa kutulia soon watatoa tangazo then mtapangiwa vituo vya kazi
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Niwakumbushe tu ndugu zangu mnaosaka ajira walio vyuoni na mlio na wadogo zenu vyuoni kuwa hali ya ajira katika taifa hili ni mbaya mno tena isiyoelezeka, mfano nlichokiona kwa hizi ajira za walimu mfano simple tu ,Tangazo la ajira lilitoa nafasi 184 kwa walimu wenye degree ya Kiswahili, lakini...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Walimu kuitwa kazini wategemee kuanzia January maana interview yenyewe haijulikani ni lini ila mwaka huu wasahau kabisa, jamani walimu kuweni na subira tu mambo yashaharibika ila binafsi naona TAMISEMI walikuwa vizuri sana
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kumepoaaa😂😂😂
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nakazia tena waalimu jiandaeni kwa usaili wa kuandika na mahojiano but kuna baadhi ya masomo mliiomba wachache mtakuwa na usaili wa mahojiano pekee
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Walimu pdf lao soon linakuj wakae mkao wa kula, kuna dalili kubwa sana kukawa na mapumziko yasiyozidi cku tatu baada ya usaili wa mahojiano kada ya afya kumalizika tarehe 13 sept ,ni mwendo wa kubandika bandua hili nalo liishe watu wadeal na ratiba zingne , taifa lina mambo mengi ya kufanya...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Walimu pdf lao soon linakuj wakae mkao wa kula, kuna dalili kubwa sana kukawa na mapumziko yasiyozidi cku tatu baada ya usaili wa mahojiano kada ya afya kumalizika tarehe 13 sept ,ni mwendo wa kubandika bandua hili nalo liishe watu wadeal na ratiba zingne , taifa lina mambo mengi ya kufanya...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Hiyo barua ya utambulisho wa serikali za mitaa lazima iwe ya sehemu ya permanent address yangu au popote pale nlipo kwa sasa Hiyo barua ya utambulisho wa serikali za mitaa lazima iwe ya sehemu yenye makazi yangu ya kudumu au popote nlipo kwa sasa?
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa physics & chemistry (bachelor) natafuta kazi ya kufundisha

    Habari wanajamvi, shule zinaenda kufunguliwa kesho hivyo kwa mwenye connection ya kazi ya kufundisha anisaidie, chuo nmehitimu UDSM
Back
Top Bottom