Ahahaha ni Swalii tuu broh.. usipanic.. waweza kuwa Mmoja wa wapiga kelele nyuma ya keyboards.. [emoji13] [emoji13] hakuna Cha maandamanoo huo ndo ukwelii.. Tupige tuu KAZI maisha yasongee
Yanii ukitafakari vizuri broh.. unaweza gundua wako nyuma ya kila kituu kwa kukosa nguvu ya kisiasa hv karibuni.. Mmoja alishawah kukiri akisema etii raisi anafwata Seraa zetuu.. ahahah Siasa bhnaa.. Bunduki iliyotoa risas na kumpiga yule Mwanafunz haionekani mpaka Sasa.. kutekwa kwa yule dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.