Recent content by RAJ SIMBA

  1. RAJ SIMBA

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    Habari za muda huu Ndugu zangu. Naomba kusaidiwa kitu hiki kwa anayejua . Aniambie viongozi wa Tatu wa serikali ya Tanzania waliwahi au wamewahi kwenda kinyume na codes of ethics .Naombeni majibu please jaman
  2. RAJ SIMBA

    Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine?

    Kaka Nina tumia whatsApp official kabisa, whatsApp messager sa sijui tatizo nn
  3. RAJ SIMBA

    Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine?

    Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine ,mana mm natumia whatsApp officiall ambayo ni whatsApp messager, juz waliniban nikawaomba walinifungilia nikazisoma sheria zote sijui kutamia whatsApp official, kuapdate whatsApp, na mengineyo. Me nikaona isiwe tabu...
  4. RAJ SIMBA

    Msaada: WhatsApp yangu imefungwa

    Kwani Official whatsApp si WhatsApp messager na WhatsApp business Au, na kama ni izo me ndo natumia
  5. RAJ SIMBA

    Msaada: WhatsApp yangu imefungwa

    WhatsApp waniban Namba yangu baada ya hapa nikawaomba kupitia email yao na wakanifungulia ila ajabu Kila nikitaka kulog in wananiambia kwamba situmii officially whatsApp na muda huo natumia Official whatsApp, na nimeapdate kabisa lakini bado. Tusaidiane hapo jamani kwa anayejua. Ujumbe wenyewe...
  6. RAJ SIMBA

    Msaada wa tatizo la Kiafya

    Habar za mida ndugu zangu. Mimi nahitaji msaada wenu kuna tatizo linanisumbua. 1. Katikati ya kifua na tumbo panavuta Sana kwa ndani mpaka nahisi kama nimeweka mzigo mkubwa maana nahisi uzito. 2. Nahisi Ganzi kichwani, Mbavuni, tumboni na hii inapelekea mbavu na kifua kuhisi kama nimebanwa...
  7. RAJ SIMBA

    Msaada: Nimefungiwa WhatsApp

    Ndo ipoje iyo customer ram
  8. RAJ SIMBA

    Msaada: Nimefungiwa WhatsApp

    Habar zenu Jamani Naomba msaada wa hili tatizo langu la WhatsApp yangu KUFUNGIWA. Hili tatizo limekuwa kubwa Sana kwangu, nimejaribu kutuma message kwa watsapp support kwa Mara ya kwanza walinifungilia nimetumia SIKU 2 wakanifungia tena na muda huo wakanifungia namba nyingine tena, nimejaribu...
  9. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu simu yangu ya Oppo

    Yes nimecconect na computer nimegundua yawezekana ni 64GB kwa maana kwenye computer inaonesha 46 free space of 51GB.Nahisi ni fake tu.Asante kwa ushauri
  10. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu simu yangu ya Oppo

    Naombeni kunijuza izo picha mbili chini ni tofauti lakini zinatoa information ya kitu 1 yan ni hivi ninasimu ya Oppo A 83 ambayo storage ya ndani inaonesha 128GB ram6 lakini ukiingia gsmrena ukiangalia specification inaonesha tolrola simu iyo mwisho storage 64GB kama pichaya1 apo chini inavyo...
  11. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu shida ya simu yangu

    Na hapa ata mm nashangaa gsmarena inaonekana storage kubwa ni 64 lkn sim Yenyewe inaonesha ina storage 128
  12. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu shida ya simu yangu

    Ndo ilivyoandikwa ata ndani ni storage 128
  13. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu shida ya simu yangu

    Inayo Yenyewe inaonesha storage 128 sa nashangaa ukidanlowd file manager play store lenyewe inaonesha ni storage 64GB ,Me nachohofia Au hii Oppo ni fake
  14. RAJ SIMBA

    Msaada kuhusu shida ya simu yangu

    Jamani nahitaji kufahamu, nina simu ya Oppo A83 ina Ram6 na storage 128 lakini kinachonishangaza ukidawnload fail la file manager linakuonesha 64GB ndo storage, sasa sijaelewa hapo nisaidieni wajuzi.
Back
Top Bottom