Recent content by Raizo05

  1. Raizo05

    Jinsi ya kupata mtaji katika forex kwa begginer

    Mzee wa kizazi cha mwisho , madini haya tunayahitaji sn vijana
  2. Raizo05

    Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

    Hii ngoma regardless ni kweli au fiction ila umejitahidi kuandika[emoji1787]
  3. Raizo05

    sumsung s7 edge pink line

    Niuzie mimi hiyo cm Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Raizo05

    Jamani wanaume tuwe tunafua Soksi na kuviweka viatu katika hali ya usafi.....angalia kilichotokea kwenye Picha hii

    Hicho ki puppy, alikua stressed out so kuna uwezekano amejiua makusudi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Raizo05

    Msaada,Wezi kupitia mitandao ya simu ,huduma za pesa kama mpesa, tigo pesa

    Hakumpa mtu simu yake, ila hapo sku za nyuma aliibiwa simu , aka renew line, na info za kurenew line ndo walizoanzia nazo mazungumzo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Raizo05

    Msaada,Wezi kupitia mitandao ya simu ,huduma za pesa kama mpesa, tigo pesa

    Kwa Style kama hii ndo aliibiwa , walimhadaa kwa kumwambia kua ameshinda pesa laki moja.. then ili aipate wakamwambia afuate maelekezo ambayo walikua wakimpa. Na maswali kama una kias gani cha hela yalikuwepo.. all in all anasema aliingia kwenye menu ya tigo pesa, then nahis option ya jihudumie...
  7. Raizo05

    Msaada,Wezi kupitia mitandao ya simu ,huduma za pesa kama mpesa, tigo pesa

    Wadau, juzi mtu wangu wa karibu alitapeliwa kias kikubwa sn cha pesa ,kupitia tigo pesa.. lakin anasema hakuenda kwenye sehem ya kutuma pesa, wala hakuwatajia hao jamaa namba ya siri.. tufumbuane macho wadau mchezo gani unaoendelea hapa kwenye hizi huduma za pesa kupitia mitandao ya simu Sent...
Back
Top Bottom