Mimi bado naamini taasisi ya uraisi inajukumu la kumlinda Rais na siasa chafu kama za hii kampuni ya kikenya ,10% ya mawaziri itateketeza taifa na kumcost rais 2025
Moja ya kanuni yangu ni kutosema uongo , nilichokisema kipo wazi na wakifanya uchunguzi watayaona ninayoyasema haya.
Najua watachukia sana ,hasa mawaziri ambazo wameweka nguvu kwenye hili lakini Nimesema watanzania lazima wajue hata wakiamua kuichukua hio kampuni
Nimeweka hoja hapa ,nina aamini watu wanaakili timamu ,watafanya upekuzi wa hii kampuni na watafanya maamuzi sahihi, argument yako naipokea ,jambo la muhimu ujumbe umefika na wahusika wanajua
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa wa Tanzania
Kampuni iliyokataliwa na JPM yarudishwa kinyemela (Safari tech) ya Kenya
Wametapeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.