The story of change of a Tanzanian medical doctor addressing the challenge of limited access to health service and bridging the Gap by Integrating Telemedicine, Point-of-Care (POC) Diagnostics, and Community Health Workers (CHWs) to battle the Challenges in Tanzania
Introduction
In the heart of...
sasa unataka akuletee maji wewe ambae hukumchagua? ulie mchagua means manifesto yake umeikubali basi dai alivyokuahidi! unataka umchague mbunge wa chadema alaf unataka utimiziwe yaliyo ahidiwa na ccm unaakili au matope
Ebu fkiria wa marekani kumi wamekuja Tanzania kutalii au kibiashara (kwa sababu anga la TZ liko open kwa kila nchi), siku moja wapande KQ au ndege yoyote kutoka TZ kwenda Kenya wakiwa na watanzania kumi wakifika Airport wamarekani wanaruhusiw kuendelea na shughuri nchini kenya kwa sababu...
Namba kubwa ipi hiyo Tanzania inawasanii zaidi ya 200 kwenye main stream hao wengi waliokuja kuoa Kenya wanafika wangapi? Wakizidi kumi mimi natembea kwa mguu mpaka kibera toka Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.