Write your reply...
Huu binafsi nauchukulia kama utani tu.Kwani huwezi kulazimishs mlaji anunue nini sokoni wakati matumizi ni maamuzi ya mtu binafsi.
Sasa hapo nini maana ya ushindani wa kibiashara? Uwepo wa kampuni nyingi maana yake unawapa watumiaji uchaguzi wa kupata huduma nzuri.Sasa...
Nadhani Vifaa vyenyewe vinafahamika hivyo!!
Nadhani ujumbe wake uko wazi ungeweza tu kusaidia hata bila kuona lugha iliyotumika ni kikwazo kwako.
Naomba msaada ndugu yangu Gentamycine!!
Kwa bahati mbaya sina picha yake.Kwani hakutaka kunionesha mpaka niwe na hela.Nina mpango wa kurudi kesho labda naweza kumuomba nivione kabla ya kuchukua maamuzi ya kuvinunua.
Habari Wandugu wa Jf!!
Ndugu naomba msaada wa haraka kwa mtu yeyote ambaye ana uzoefu wa kutosha ama amewahi kutumia Hearing Aids kwani nina matatizo ya masikio.
Last week nimefika KCMC,nikaonana na Specialist wa Kitengo cha ENT,kwa kuwa ilikuwa Rufaa alifanyia check up na baadaye...
Acha kugeuza Mjadala we MwanaLumumba!!!
Mjadala wa leo ni Uchaguzi wa Marudio Kinondoni na SIHA.
Mjadala wa leo ni jinsi gani Polisi wanavyotumika kuua,kutesa na kupiga mabomu na risasi watu wasio na hatia na wasio na siraha yoyote mkononi.
Mjadala wa Leo ni juu ya kwanini Mkurugenzi Mtendaji...
Huyu jamaa hata Pharmacy Act huijui,unaleta wivu kwa watu na taaluma zao.Niko kwenye usafiri..nitakujibu vizuri nikifika nyumbani.
Cha msingi acha kupotosha umma.
Ujinga mtupu!!
Ningekuwa Mkt wa Chama Taifa.Ningepiga marufuku huu ujinga wa kupokeana na kununuliana.
Ila kwa kuwa JMP anataka kuwakomoa UKAWA hili game naona analifurahia sana.Na alipo anapiga push ups tena akisema watanikomaa mwaka huu.
Tusubirii tuonee!!
Tetesi za kitaa ni kwamba alifeli kukamilisha mradi wa maendeleo ya kushusha nguvu za mwanaharakati mtukutu aishiye Idodomya.....
Hii ilikuwa katika dhana ya Hapa Kazi Tuu.
Akili Mkichwaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.