Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Kama kuna mahali serikali inapigwa ni hapa, hivi inakuaje hawa wanaoitwa mafamasia wanaojihusisha na shughuli za kutumia vyeti vyao kwenye Mafamasi makubwaa hawalipi kodi!inakuaje mtu analipwa manilioni mengi ya pesa bila kodi? Serikali inalijua hili?
Cha kushangaza ni kwamba wanalipwa pesa nyingi sana kuanzia milioni moja na kuendelea kila mwezi, tena wanataka walipwe kuanzia miezi 3 na kuendelea kwa mkupuo. Kama mfamasia aliyeajiriwa serikalini analipwa mshahara unaokatwa kodi inakuaje kwa malipo ya mfamasia ambaye cheti chake kinatumika famasi alikatwe kodi? Tena inakuaje kwa wengine mtu ni mwajiriwa serikalini halafu anakua na mkataba mwinigine wenye pesa nyingi tuu? Sheria inaruhusu mwajiwa wa serikali kua na mkataba mwingine?
Yeye ni nani hasa?
Hili jambo Pharmacy council wamelufumbia macho makusudi na ndio wanakula dili na hawa watu, inakuaje unamdai mtu mkataba wa ajira kwenye famasi halafu unajua ni mwajiriwa wa serikali? Kama ni hivyo ni kwanini malipo yake bayana makato?
Kinachoshangaza ni kwamba mtu anapotaka kufungua famasi ni lazima apeleke na mkataba wa kumlipa mfamasia huyu ambaye malipo yake hayana kodi.Na wao ndio waliojipangia kulipwa manilioni haya bila utaratibu wowote, hakuna sheria yeyote inayoidhinisha malipo kwa watu hawa utafikiri serikali hailioni hili.
Nimejaribu kufuatilia hawa watu kwa karibu muda mrefu, wanavuna pesa nyingi sana na kugeuza vyeti vyao kua biashara kubwa. Kama mama ntilie tu analipia leseni ya biashara inakuwaje hawa watu wanavuna bila kuichangia serikali? Kama ni suala la kulipia leseni zao za professional hata manesi, maabara na gani zingine wanalupia leseni zao.
Sina wivu na professional ya mtu, lakini linapokuja suala la kulichangia taifa ni lazima tuwajibike wote! Serikali iwe macho na hili, ikiwa tu hata madalali tu wanatakiwa kulipa kodi kwani wasomi hawa wasilipe kodi?
Cha kushangaza ni kwamba wanalipwa pesa nyingi sana kuanzia milioni moja na kuendelea kila mwezi, tena wanataka walipwe kuanzia miezi 3 na kuendelea kwa mkupuo. Kama mfamasia aliyeajiriwa serikalini analipwa mshahara unaokatwa kodi inakuaje kwa malipo ya mfamasia ambaye cheti chake kinatumika famasi alikatwe kodi? Tena inakuaje kwa wengine mtu ni mwajiriwa serikalini halafu anakua na mkataba mwinigine wenye pesa nyingi tuu? Sheria inaruhusu mwajiwa wa serikali kua na mkataba mwingine?
Yeye ni nani hasa?
Hili jambo Pharmacy council wamelufumbia macho makusudi na ndio wanakula dili na hawa watu, inakuaje unamdai mtu mkataba wa ajira kwenye famasi halafu unajua ni mwajiriwa wa serikali? Kama ni hivyo ni kwanini malipo yake bayana makato?
Kinachoshangaza ni kwamba mtu anapotaka kufungua famasi ni lazima apeleke na mkataba wa kumlipa mfamasia huyu ambaye malipo yake hayana kodi.Na wao ndio waliojipangia kulipwa manilioni haya bila utaratibu wowote, hakuna sheria yeyote inayoidhinisha malipo kwa watu hawa utafikiri serikali hailioni hili.
Nimejaribu kufuatilia hawa watu kwa karibu muda mrefu, wanavuna pesa nyingi sana na kugeuza vyeti vyao kua biashara kubwa. Kama mama ntilie tu analipia leseni ya biashara inakuwaje hawa watu wanavuna bila kuichangia serikali? Kama ni suala la kulipia leseni zao za professional hata manesi, maabara na gani zingine wanalupia leseni zao.
Sina wivu na professional ya mtu, lakini linapokuja suala la kulichangia taifa ni lazima tuwajibike wote! Serikali iwe macho na hili, ikiwa tu hata madalali tu wanatakiwa kulipa kodi kwani wasomi hawa wasilipe kodi?