IVF ni msaada kwa mwanamke mara nyingi. Sababu ili IVF ifanyike sperm analysis inafanyika kujua kama Baba uko vizuri.
Pia, inaweza kuwa msaada kwa Baba sababu sperm nazo zina mambo mengi... unaweza kuambiwa zipo vizuri lakini badala ya kwenda mbele zinarudi nyuma.
Hapana Mkuu sijaichoka.
Ila niulize swali, unatakiwa kufanya nini endapo umeingia kwenye ndoa na mdada ukitarajia baada ya muda mtapata watoto wenu. Unakuja gundua mdada alishatumiaga maP2 na masindano ya uzazi na baada ya ndoa uzazi umekuwa wa shida kwenu?
Habari wandugu,
Hii taasisi ya ndoa naona inahitaji maboresho makubwa kuendana na wakati kwani kwa sasa mitazamo na tabia za watu zimebadirika sana.
Hivyo kubaki na taasisi yenye misingi ile ile kwa miaka na miaka si jambo sahihi. Ndio maana sasa ndoa zinavunjika, wanandoa wanasababishiana...
Habari Wadau,
Kwa maisha niliyoshuhudia mwenyewe na si kuhadithiwa nina kila sababu ya kusema kuwa wazee wetu ndio waliofurahia ndoa na sisi vijana wa sasa tunapambana tu.
Sababu za kwanini nasema wazee wetu ndio walifurahia ndoa ni chache tu ila ni nzito na zinasababisha ndoa kuwa mzigo...
Inasikitisha sana.
Ila naamini Dav alikosa ushauri mzuri. Pengine angeweza bakiza sehemu kubwa sana ya mali zake upande wake na kiasi kidogo kwenda kwa mtalaka wake. Sababu kama ulivyoeleza sehemu kubwa ya mali zake alizipata kabla ya kuoana na huyo mwanamke.
Pia, hatuwezi jua Mapenzi...
Hapana. Utawala wa sasa si onevu ila unawaacha watendaji kujitengenezea dili za kuumiza watu kama hizi.
Sababu katika mazungumzo nao nilifahamishwa kuwa hiyo faini ya 200,000 inagawanyika kama ifuatavyo:
Tsh 100,000 inaenda kwa halmashauri
Tsh 50,000 inaenda kwa mzabuni/kampuni ya kukamata...
Habari Wadau!
Wiki hii katika harakati zangu nimekumbana na kadhia ambayo ikanisikitisha sana. Ilikuwa majira ya mchana niliposimamisha harakati zangu na kuelekea sehemu ya kupata chakula cha mchana.
Nilipofika pale kama ilivyo siku nyingine zote ambazo huwa naenda kula mahali hapo, nikaegesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.