Recent content by Raia Mtata

  1. R

    Sabufa aina ya Rising inauzwa

    Sold out. Ishauzwa hii haipo tena
  2. R

    TV4Sale TV inauzwa na meza yake

    Meza imeuzwa wakuu imebaki TV peke yake, hiyo TV nipeni 90,000
  3. R

    Sabufa aina ya Rising inauzwa

    wakuu na mali nyingine inauzwa Sabufa mpya kabisa japo imetumika, aina ya Rising mdundo wa maana Hometheatre Haoni ndani, Bluetooth, FM Radio, SD/MMC Card, Flash Disc kama kawaida. Bei sawa na Bure 120,000 tu. Nicheki 0784 884 950. Location Vikindu Mkuranga Pwani.
  4. R

    Njoo uniuzie TV flat ya inchi 24/25/26

    Mzee unanunia kila siku? Ipo inch 24 hapa
  5. R

    TV4Sale TV inauzwa na meza yake

    Wakuu TV inauzwa bei ya ofa pamoja na meza yake. Tv ni inch 24 aina Homebase, double screen, na pia inatumia solar. Bei 150,000 pamoja na meza yake. Nicheki 0784 884 950. Location Vikindu mkuranga pwani.
  6. R

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    TV HOMEBASE inch 24, double screen, na pia inatumia solar inauzwa 150,000 pamoja na meza yake. Nicheki tufanye biashara chap.
  7. R

    NAHITAJI HOMETHETRE

    Ushapata?
  8. R

    Natafuta Spea ya Sony Hometheatre - Gia Nyeupe zinazozungusha CD

    Wakuu habari zenu Natafuta spea ya Sony Hometheatre, kifaa ninachotafuta ni zile gia nyeupe zinazozungusha CD na kusapoti mlango ufunguke. Katika Hometheatre yangu zimevunjika zote 3. Mwenye nazo anicheki inbox au call 0784 884 950
  9. R

    Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

    Wakuu natafuta spea ya Sony Hometheatre zile za spika ndefu, natafuta gia zinazokaa ktk mlango wa CD viplastic fulani vya duara vyeupe, mwenye navyo tuwasiliane. 0784 884 950
  10. R

    Wakali wa home theater na Soundbars naombeni ushauri katika hili

    Wakuu natafuta spea ya sony hometheatre ...zile gia zinazokaa ktk mlango plastic fulani za rangi nyeupe mwenye nazo tuwasiliane. 0784 884 950
  11. R

    Ufugaji wa Bata: Aina za bata, ujuzi, gharama, changamoto, faida na masoko

    Asante kwa wote mliojitokeza kuchangia katika huu uzi ambao niliuanzisha Mwaka 2020 kwa lengo la kusaidia wafugaji wenzangu wa bata ni matumaini yangu wengi tumefaidika kwa yote yaliyoandikwa humu, kwa wale ambao sijajibu maswali yao nitaendelea kupitia na kujibu, na kuna walioniandikia inbox...
  12. R

    Battery yangu ya solar inaisha nguvu haraka

    Mimi nina betri ya N100 ya kampuni ya Ritar nimewekea kioo watt150 pamoja na controller charger. Sasa natumia huu mwaka wa 5. Betri ni kama mpya tu. Betri ya N100 ukiweka kioo watt120 hiyo betri unaihatarisha, inaweza kufa, kwa sababu kioo cha watt 120 ukiweka betri N100 halafu ukaweka...
  13. R

    Uzalo Special Thread

    Uzalo Update 18 July na 19 July Twende pamoja, Ndoa ya GC imeandaliwa na chifu kaalikwa sasa imefika zamu ya bwana harusi na bibi harusi kuonyesha ishara kuwa hawajalazimishwa kuingia kwenye ndoa, ishara yenyewe unaingia unacheza. Bibi harusi kaingia kacheza, sasa ikaja zamu ya GC, akagoma...
  14. R

    Uzalo Special Thread

    Nkunzi yupo on the verge kuachiwa kwa kigezo kwamba ameonyesha utii na mabadiliko gerezani, na amemuomba Pasta Mdletshe ambatize pindi atokapo gerezani; jambo ambalo Mxo amelipinga vibaya sana. Nkunzi amekuwa anawafichua wenzake ambao wana malengo ya kutoroka gerezani, lakini cha ajabu nkunzi...
  15. R

    Uzalo Special Thread

    Sasa hivi naona hata updates haziwekwi tena humu za uzalo ngoja mie nitaanza kuwawekea najitahidi tahidi kuangalia japo mara ingine nakuwaga na usingizi. Muda mbaya sana aisee. Mara ingine inanipita. Ila sijawahi maliza wiki bila kucheki Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom