Nenda kampuni za EIA/EA consultants then ufanye intern angalau mwaka Moja kisha mkuu Wako atarecommend Ili uweze kusajiliwa na NEMC na ada ya usajili ni Laki 1 Kwa Kila eneo ko kama utataka usajiliwe kote Mana ake utalipia Laki 2 kisha usubiri majibu
Habari Wana JF,
Mimi ni binti wa miaka 23 napatikana dodoma level Yangu ya elimu ni degree katika field ya mazingira
Naomba msaada wa connection ya kazi au kwa yoyote Mwenye kuhitaji kibarua aniajiri Ili niweze kujikimu
Nb: kazi yoyote halali nina uwezo wa kuifanya 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.