ALI EXPRESS WANAKULETEA MZIGO WAKO HADI ULIPO KAMA DHL ?
Wakuu naomba msaada wenu kulielewa hili,
Ni mara yangu ya kwanza kununua na kutuma/kuletewa mzigo nilionunua na Aliexpress badala ya DHL ambao hukuletea mzigo hadi ulipo.
Swali langu jea hata hao aliexpress...
Members natumaini hamjambo.
Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika.
Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.