Magari ya kawe omba msaada kituo kinaitwa kwa mwinyi ukishuka ulizia office za gardaword utaelekezwa sio mbali ukifika unakutana na huo ubao wa matangazo
Na Kama ndio tupostie basi vigezo na masharti ya siku ya kupeleka ili mtu ajiandae sio anaenda anaambiwa kachelewa au sio siku iyo msaada tu mkuu naomba kama hutojali vigezo kwa both side walinzi na madereva
Nenda pale office zao ziko kwa mwinyi utakuta ubao wameandika masharti yao na vigezo vyao na siku ya kupeleka na muda wakufika nakushauri nenda usisubiri kuambiwa kila kitu wanavimasharti vingi kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.