Recent content by R_Breazy

  1. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    😂😂😂Ngj nifanye hivyo sehemu moja
  2. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    😂😂Nilichelewa kuiona hi thread, nmekuja kuona matangazo yalokuwepo yote yalikuwa Tyr deadline ya kuapply ishaisha, na yaliyopo yapo irrelevant na profession yangu, nikaamua kusubscribe ajabu hakuna matangazo tena🙌😃 Eenh... Au kuwa jobless ndo kazi yenyewe, nyieee😄😄🚫
  3. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    WAKUU KWA HESHIMA NARUDISHA SHUKRANI Nimeenda saluni Fulani batotoz upande wapili, I mean ukivuka road-jamaa kajitaidi katk kumi nampa 8/10🙏🙏 Bei 3k
  4. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wako wa jamii forum (jina) chanzo chake ni nini?

    Kwenye simu kabla hajanijua alinisave Ben pol nilivyomuuliza why, alinijubu nilivyo mpole/mtaratibu ila alikuwa akinifananisha na Chris brown, alikuwa akiniita ####...Breezy, nilikuwa siitiki ila jamaa daily aliniita hivyo, hata alipojua jina langu. Basi tu kupamba mwisho nkakubali na kupenda...
  5. R_Breazy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Broken hearts(quotes)..tukutane hapa tuliopigwa matukio

    Kwamba unataka mbo** make ilivyofanya so poa hapo kila kona unasugua sema fresh😂😂 muhimu vaa pendeza, tomb**na kwa step la sivyo utalia vibaya sana.
  6. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Sawa mkuu, asante ntaulizia
  7. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Then anajua au unauliza tu
  8. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Mi si mzururaji sana, zaidi nkitoka ni either naenda uwanjani kurefresh mind kidg si unajuaa ule uwanja ulivyokaa, umekaa kishua sana basi tu hewa safii upepo ukicheza harufu ya mjani life linasonga Nje na hapo ni mimi natoka kwenda kituo cha saratani basi.
  9. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    😂😂😂😂 Ulikuwa unawaza nini hadi..
  10. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Hiyo ni baada au kabla 😂
  11. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Kesho ntazngukia maeneo hayo
  12. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Nipe maelekezo vizuri mkuu, nikiwa sina mishe sehemu ya kupunga upepo ni kwenye huu uwanja wa makaburi ya city nje na hapo naenda kupanda gari kwa ajili ya mishe za kila siku.
  13. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Nahitaji kinyozi mkali/anayejua Hata vinyozi wakali wanatofautiana kuna yule mbahatishaji yaani leo anaweza kutoa vizuri kesho akazngua na kuna yule yeye moto ni ule ule hata akikosea kdg sana na haidhuru ndo aina ya vinyozi naowahtaji na mara nyingi saloon zao si classic sana ila huduma zao ni...
  14. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Naombeni chaka la kinyozi/ vinyozi wazuri bei kitonga

    Jina la saloon au kinyozi anajulikana kwa jina gani mkuu🔥🔥
Back
Top Bottom