Recent content by R_Breazy

  1. R_Breazy

    Huyu nyoka anaitwa pambe ni mpole sana

    Kiuhalisia ni nyoka msitaarabu na hana noma Nikiwa mdogo kuna matukio mawili nilikutana nayo juu ya huyu nyoka 1. Ashawahi kupita katikati ya miguu yangu bila mimi kujua, nilishtuka akiwa anaishilizia mkia 2. I can guess nilikua kama sikuwa na miaka 5/6 basi 7(range 5-9) jioni moja mida ya...
  2. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    😂😂😂🙌🙌Oya
  3. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Kule kukoje, natamani nipate sehemu ambayo ntakaa naye kdog story za hapa na pale kuzuga mwisho niombe privacy zaidi na yeye
  4. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Weka namba, nipo karume apa💪💪✊
  5. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Ntahakikisha naitapanya vizuri...sisi tunaojtafuta nguzo yetu ni hiyo Wa kuja kunitoa awe na inch 7+ na awe na hela Ila mwenye inch 6 ntahakikisha tunakula wote adi mifupa😊😊💯
  6. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Kwani hakuna anaeweza kunikopesha wakuu?? Nipunguze maumivu after breakup watu wanajiua kisa K**a Ila Mimi nimechagua kupokea maumivu na kusonga mbele, Mimi kuwa chini ya mwanamke ni NEVER na siwezi endeshwa kisa anapokea mshahara tamisemi....
  7. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Ghetto nipo na mwana na hatakiwi hata aone Wala kujua, sababu mshikaji wangu anakiamini sana, na huwa anakitumia kusort ata mambo yake ya msingi na mwana ndo kanipokea mjini Baada ya valangati la Mimi na mama mtu wangu😅🙌🙌
  8. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Napajua coco beach tu, mbezi beach napanda mgari yanayoenda wapi mkuu Bodaa watanichaji parefu😃😃ukizngatia Hali ni tete NIKOPESHE😁😁
  9. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    😁😁 Current balance 25k Na plan yangu kama kakieleweka, nijue joto lake, ongezea nyama mkuu naweza kupata room for show time maeneo hayo, literally hakana njaa ya pesa...
  10. R_Breazy

    Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

    Habari zenyu, poleni na majukumu Moja Kwa moja kwenye pointi, 2024 nlivyoondoka huku dar kulikuwa na kabinti Kwa huo mwaka niliona si vyema kuingia nako kwenye mahusiano, tukawa tu marafiki story story na maswali ya shuleni ya hapa na pale, in short sikuwa na interest nacho. 2026 nimerudi ila...
  11. R_Breazy

    Kila wakiita interview wananikuta nina ukwasi wa kutosha hivyo napuuzia

    Nipo dsm mkuu nipe chimbo, Hali ni tete
  12. R_Breazy

    Mishahara ya SUMATRA kufuru

    Sema nitasubmit hivyo hivyo, MUNGU atende miujuza niitwe tu hata kwenye usaili
  13. R_Breazy

    Mishahara ya SUMATRA kufuru

    Nimeona ila CHETI CHA six Sina nadaiwa 2m+(Badal ya kwenda chuo cha kati coz skupata selection NILIPATA mfadhili shule ya private)
Back
Top Bottom