Kenya swala la kumiliki ARDHI likoje
Sema mi nililenga zaidi maono alikuwa nayo Magufuli yalikuwa yanaumiza wachache ila faida Kwa wengi basi tu coz siasa ni kama Simba na yanga
Habari wakuu
Mimi si mnazi, Wala Sina DNA za siasa ila naamini kabisa Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri🙌🙌💔
Wengine watakuja na hoja Vipi kuhusu Nyerere?! Ila ikitokea Nyerere kafufuka basi atashangazwa na maendeleo tuliyonayo Leo kama taifa...
Hakika Kuna muda MUNGU anakulinda sema wanadamu huwa tunachelewa sana kujua, hatuna muda wa kutafakari mambo Kwa kina, datz y tunapaswa kushukuru tukikosa/tukipata🙏
Siyo kweli average women ndo wanalika sana bro Fanya uchunguzi. Shida ya Hawa wanawake wazuri ni ngumu kukuta Yuko siku yeye ni bandika bandua.
Kwanini average wanalika sana, sabu wanategemea kumpa penzi mwanaume kumkamata au kumtuliza while upande wa pili hawategemei hiko zaidi ya uzuri wao na...
Namjali sana japo ye ananiona kivuruge 😁😁 mzigo wa dhambi zangu niliona nisimbebeshe she is very innocent plus kanizalia vitoto vizuri viwili (Son & Daughter) vyote kanifanyia nilivyohtaji kwenye maisha bila kuomba. Imagine bila yeye hao watoto ningekuwa Sina na life bado gumu ila Kwa ajili yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.