Recent content by R_Breazy

  1. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Em quote sehemu nimelinganisha, kichwa panzi🤐
  2. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Nlichokiandk na uchawa mbn hata havi match-umetumia akili au mgongo kutafakari nilichoandika??
  3. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Sjui nlireply vipi kuhusu Samia aloo ilaa 💔💔
  4. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Kenya swala la kumiliki ARDHI likoje Sema mi nililenga zaidi maono alikuwa nayo Magufuli yalikuwa yanaumiza wachache ila faida Kwa wengi basi tu coz siasa ni kama Simba na yanga
  5. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Kila kitu ni fikra
  6. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena, kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri

    Habari wakuu Mimi si mnazi, Wala Sina DNA za siasa ila naamini kabisa Magufuli akifufuka Leo, atakufa tena kulingana na Yale aliyoyaacha na yanayojiri🙌🙌💔 Wengine watakuja na hoja Vipi kuhusu Nyerere?! Ila ikitokea Nyerere kafufuka basi atashangazwa na maendeleo tuliyonayo Leo kama taifa...
  7. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Jifunze matumizi ya initial "k" kwenye swala la hela, hiyo pesa ni nyingi sana 260,000k×1000=260,000,000/= Vumilia Mkuu tutachanga😂
  8. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Jamii forum😂😂🙌
  9. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Hakika Kuna muda MUNGU anakulinda sema wanadamu huwa tunachelewa sana kujua, hatuna muda wa kutafakari mambo Kwa kina, datz y tunapaswa kushukuru tukikosa/tukipata🙏
  10. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Hii ni mada nyingine 😂
  11. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Kwamba ndo solution, utakufa vibaya wewe😂
  12. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Ntazngatia sana madam 🙏
  13. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Siyo kweli average women ndo wanalika sana bro Fanya uchunguzi. Shida ya Hawa wanawake wazuri ni ngumu kukuta Yuko siku yeye ni bandika bandua. Kwanini average wanalika sana, sabu wanategemea kumpa penzi mwanaume kumkamata au kumtuliza while upande wa pili hawategemei hiko zaidi ya uzuri wao na...
  14. R_Breazy

    JamiiForums Tanzania Nina furaha-ghafla nimehisi kupona

    Namjali sana japo ye ananiona kivuruge 😁😁 mzigo wa dhambi zangu niliona nisimbebeshe she is very innocent plus kanizalia vitoto vizuri viwili (Son & Daughter) vyote kanifanyia nilivyohtaji kwenye maisha bila kuomba. Imagine bila yeye hao watoto ningekuwa Sina na life bado gumu ila Kwa ajili yake...
Back
Top Bottom