😂😂Nilichelewa kuiona hi thread, nmekuja kuona matangazo yalokuwepo yote yalikuwa Tyr deadline ya kuapply ishaisha, na yaliyopo yapo irrelevant na profession yangu, nikaamua kusubscribe ajabu hakuna matangazo tena🙌😃
Eenh...
Au kuwa jobless ndo kazi yenyewe, nyieee😄😄🚫
Kwenye simu kabla hajanijua alinisave Ben pol nilivyomuuliza why, alinijubu nilivyo mpole/mtaratibu ila alikuwa akinifananisha na Chris brown, alikuwa akiniita ####...Breezy, nilikuwa siitiki ila jamaa daily aliniita hivyo, hata alipojua jina langu.
Basi tu kupamba mwisho nkakubali na kupenda...
Mi si mzururaji sana, zaidi nkitoka ni either naenda uwanjani kurefresh mind kidg si unajuaa ule uwanja ulivyokaa, umekaa kishua sana basi tu hewa safii upepo ukicheza harufu ya mjani life linasonga
Nje na hapo ni mimi natoka kwenda kituo cha saratani basi.
Nipe maelekezo vizuri mkuu, nikiwa sina mishe sehemu ya kupunga upepo ni kwenye huu uwanja wa makaburi ya city nje na hapo naenda kupanda gari kwa ajili ya mishe za kila siku.
Nahitaji kinyozi mkali/anayejua
Hata vinyozi wakali wanatofautiana kuna yule mbahatishaji yaani leo anaweza kutoa vizuri kesho akazngua na kuna yule yeye moto ni ule ule hata akikosea kdg sana na haidhuru ndo aina ya vinyozi naowahtaji na mara nyingi saloon zao si classic sana ila huduma zao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.