Recent content by R.A.SAID

  1. R

    Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

    Ni kuwahamisha watanzania kutoka kwenye katiba ili wasahau waipitishe katiba yao ya ccm.Woga wetu ndio tatizo acha watusulubu wapendavyo.
  2. R

    Mapapa 560 wa Madawa ya Kulevya watajwa. Wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz

    mnajitahid kututajia tu mara madawa mara mafisadi mbona hatma zao hamtuambii au ndo akivunja chungu mama bahati mbaya mtoto kakosea?
  3. R

    Bomoa bomoa imeanza Kurasini Matankini

    Viongozi mwogopeni mungu haya mnayowafayia wananchi hayapendezi.Nendeni mkawakalie itikafu mungu atajibu dua zenu.Watafuteni watu wenye takwa wawafanyie kazi.Nichoshwa na hili na linaumiza.Wambieni wakajenge viwanda vyao nje ya mji kuondoa msongamano wa magari mjini.Hili litawagharimu,itafika...
  4. R

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Jamani watanzania,kwanini hatutaki kuamini kwamba nchi hii haina amani ila ni woga tu uliopo ndani ya mioyo yetu ndio unaotufanya tuonekane nje kama tuna amani.Naomba ni anze kwa kuuliza swali,unamfahamu balozi wa Tanzania nchini china?Unafahamu ana kashifa gani,je nikisema yupo kule kwa maslahi...
  5. R

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Huu ni ujinga,haya hayavumiliki akifaponda waislamu kaenichinim sasa msome ararubadili.Tumechoka na uongozi unaoua hadi mtoto anafahamu.Akifa njia za kulipa kisasi zipo.Wapo wasomi wa qurani wazuri wenyekufahamu elimu dunia.kwanini mnayafumbia machohaya,mnafaidika a nini.Mlilieni mungu.Au kazi...
  6. R

    MEYA Jerry Silaa asema SIASA za UJAMAA na KUJITEGEMEA ni MBAYA, NYERERE alituharibu...

    Hili naloneno.Watanzania woga unatuponza,hatupendi mkusema ukweli na tunaposema tunakuwa wepesi wa kubadilisha kauli zetu.Mwalimu aliona mbali sana.Leo hatuwezi kupata kiongozi kama yeye tena
  7. R

    Kikwete: Nalaani CHADEMA kutaka kutengeneza kikundi cha Kujilinda

    Hakuna haja ya kulaani kwani maandiko yanasema amani ya kweli haipatikani isipokuwa kwa ncha ya upanga.Acha waanzoshe ikibidi tupigane ili amani ya kweli ipatikane Tanzania badala ya nidhamu ya woga iliyopo hivi sasa.
Back
Top Bottom