hapana mkuu! sister ang aliomba ila hajapata, ndo kaambiwa eeeet kuna majina mengine ya ngazi ya cheti bado hayajatolewa,...Ndo nauliza hivi yapo kweli au ndo imetoka hivo!!!!!..
Habari wana JF!
Mimi ni mwana JF mwenzenu, elimu yangu ni ya kidato cha nne, na course ya Nursing,
pia napenda zaidi kusomea mambo ya ushauri nasaha, ila sielewi hivyo vyuo vipo sehemu gani.
Nimejitokeza kwenu kuomba mwenye kufaham moja wapo ya vyuo hivo anisaidie kunijuza tafadhali nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.