Recent content by Qute cherry

  1. Qute cherry

    Tuko serious Lowassa awe Rais?

    Kiswahili kibovu rais wako mwenyewe unayemtaka ana kiswahili kibovu balaa,bora huyu ni zile za l na R
  2. Qute cherry

    Tuko serious Lowassa awe Rais?

    Wewe uliefika monduli na unayeelewa tuambie kukoje kimaendeleo,Acha kubwabwaja lete point.
  3. Qute cherry

    Yataka sana moyo kuishi wawili katika ndoa

    Think positive bhana,hizi negative tuweke pembeni sasa,je kama mke ana mimba labda?
  4. Qute cherry

    Historia ya mke wangu inanikatisha tamaa

    Hivi hii kweli au hadithi tu,kabisa kabisa wife??,kama kweli Mungu akubariki maana una roho ya tofauti kabisa
  5. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Ukimaanisha baba aplay part yake kwa kuchepuka ama?.tatizo wanaume huwa mnahisi mna haki ya kuchepuka kwa kisingizio kwamba nyie tu ndo mna nyege na macho ya kuona kumbe ni tabia za kijinga tu wapo wanaume wengine wametua sana,umeoa tulia heshimu familia yako,jali familia yako.juzi hapa nilitoka...
  6. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Huwezi kumfool mtu all times,hiyo haiwezekani,utafanya kwa adabu siku ya siku mambo yatakuwa wazi tu. sijidanganyi ila Ukweli wapo wanaume waaminifu kwa asilimia 100, katulia na mke wake tu,
  7. Qute cherry

    Wakaka jipangeni kwa wapenzi wenu kuepuka kugongewa

    Kwa maana hiyo basi mtoa thread anaposema wanaume wapeni hela mapenzi wenu msigongewe anakosea,maana unaweza mpa hela ila kama humridhishi lazima ugongewe,unaweza mpa hela ila kama uliopoa wa uwanja wa fisi utagongewa tu,unaweza mpa hela ila kama ulichukua asiye type yako utagongewa tu.nadhani...
  8. Qute cherry

    Wakaka jipangeni kwa wapenzi wenu kuepuka kugongewa

    Wanapenda migegedo tatizo hawa walionao hawawaridhishi au ni mwanaume kakosea njia akajua kaopoa mpenzi kumbe kaopoa wa uwanja wa fisi? Au kaopoa asiye type yake?.
  9. Qute cherry

    Wakaka jipangeni kwa wapenzi wenu kuepuka kugongewa

    Naombeni kuuliza,INA maana siku hizi hakuna wanawake waaminifu kabisa?? Maana kila ninakopita utasikia wanawake wa siku hizi bhana sio waaminifu hata umpe nini utagongewa tu,kwamba hakuna wanawake waaminifu?
  10. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Shida ipo,ila kama imeshindikana kuwa pamoja basi hakuna jinsi,mtoto atalelewa na upande mmoja then akiwa mkubwa atamtafuta baba yake.uzuri Kusudi LA MTU kuja Duniani haliwezi badilishwa na kukosa malezi ya upande mmoja,Kusudi La Mungu juu ya mtoto litabaki palepale
  11. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Ndo uishi nae sasa for the sake of ur kids kama mnavyosema single mother wavumilie,na wewe mvumilie tu watoto wapate malezi yenu pamoja
  12. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Duuh! Kwahiyo kwa vile nyie nyege zenu ni full time kuchepuka ruksaa?? Halafu unasema wanaume wanachepuka ili mke wake apumzike, kweli??? Apumzike au ajiandae kuuguza Ukimwi??,Mnasingizia sana,ila ukweli kwa mwanaume anayempenda mke wake na kujali familia yake naMwenye hofu ya Mungu, hawezi...
  13. Qute cherry

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Hawa wanaohitaji Nguo za mil ni wachache tu wasiojitambua,ila single mother wengi mtamumchungu kafuatilie,wengi wako single coz wamekataliwa mimba,na manyanyaso,sio ya Nguo no manyanyaso Yale ya hali ya juu ambayo kwa mwanadamu mwenye roho ya nyama hayavumiliki,
Back
Top Bottom