Recent content by Quinne

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza marashi, urembo, nguo, mikoba na viatu

    Ndio Daby,zipo za rangi tofauti na nyingi.Karibu sana
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza marashi, urembo, nguo, mikoba na viatu

    Karibu sana[emoji4]
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza marashi, urembo, nguo, mikoba na viatu

    Tunauza bidhaa mbalimbali zenye ubora na kwa bei nafuu kabisa ni kwa ajili ya jinsi zote wakaka na wadada.Bidhaa zetu ni :- 1.SET ZA ACCESSORIES/UREMBO Tunauza set za urembo inayojumuisha (saa, bracelet,cheni na hereni).Aina (brands) tofauti kama Rolex,Rado,Lewis,bvlgari na Versace.Zinavutia...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Uberimae,pole kwa usumbufu ila hii number haijakosewa
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Nipo Dar es salaam
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Samahani sana Emamarki kupata huu usumbufu,number ni 0628487481
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Namaanisha hata nikipata anauza nguruwe mzima mzima ila kwa bei ambayo naweza kufanya biashara kuuzia watu wenye biashara za mabutcher na majiko ya kitimoto
  8. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Mimi nipo Dar es salaam
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza kitimoto

    Habari za wakati huu wana Jamii Forums, kheri ya mwaka mpya. Naomba msaada wenu kujua sehemu ninayoweza kupata mtu anaechinja nguruwe na kuuza kwa bei angalau 5000tsh maana nahitaji na mimi kufanya biashara ya kuuzia watu wa majiko ya kupika kitimoto na wenye butchers za nyama ya nguruwe. Hii...
Back
Top Bottom