Hmmmm!!! bonge 1 la ujumbe jran.... Sema saiv dunia ya utandawaz hii waschana n wavulanaa kujtunza mpk ndoa n bonge1 la mtihan na cjui nan atafaulu sema mm naamin wapo watakaofaulu...yes yes yooo!!!! Metishaa.
Wahusika wameona km mada haiwahusu iv....labda wapo sawa kifya pengne lakin!!! Ila mada nzur sana nmeielewa...mkuu upo vzur,,, sema wahusika jarbun kuleta mawazo kwny hii jaman!!
Kuna kitu unafcha dada,,, mana mpk karecod mazungumzo ujue kuna ktu umefanya apo hutak too kusema,,,,na kuhsu kukusamehe jamaa anaumia na meng include gharama anazokugharamia ww af ajue kuna mwngne anakula tunda too kiboyaa...ujue inauma sana
kwa watu walio kua kwny mahusiano iyo kitu kwao haina faida bali n hasara tupu za mawazo meng na kumiss zle moment za mapenz.... Iyo inawahusu sana masingle wale ambao hawajawai kuonja wala kuonjwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.