Hii vita sasa naona imefikia mwisho, ila naona restrictions na censorship ya taarifa imekuwa kubwa hasa za damage upande wa U.S military assets na Israel.
Demona Nuclear power plant,Ben gurion Airport ni sawa na kuwa demolished, Israel hawezi kupokea Direct international flight inabidi atumie...
Kilichotokea jana kwa treasury secretary ni aibu, kuitwa situation room katikati ya interview, na alivyorudi alikuwa anaongea kwa kutetemeka kutoa majibu nje swali. Inaonyesha hali sio nzuri nzuri.
Waziri wa ulinzi Peter analalamikia media sio wazakendo.
Naona pia U.S alipanga kuitumia hii vita kukata mikono Bankers of London, kitu ambacho amefanikiwa.
Kawanyang'anya monopoly ya marine insurance Lloyd's of London.
Israel ilitangaza ni marufuku ku post taarifa za uharibu zinazosababisha na makombora ya Iran, na waandishi wa nje wamezuia kufanya live coverage, na chochote kabla ya ku post idara za usalama zi review
Jamming zilizanzia kwa Urusi, baada ya kupata terminal na kuzi study.
Ishu hapa ni new trade route na resource hasa Silver, baada ya kupungua kwa kasi sokoni, na ukizingatia ni raw material muhimu kwenye missile production
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.