Recent content by Quencher

  1. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita sasa naona imefikia mwisho, ila naona restrictions na censorship ya taarifa imekuwa kubwa hasa za damage upande wa U.S military assets na Israel. Demona Nuclear power plant,Ben gurion Airport ni sawa na kuwa demolished, Israel hawezi kupokea Direct international flight inabidi atumie...
  2. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kilichotokea jana kwa treasury secretary ni aibu, kuitwa situation room katikati ya interview, na alivyorudi alikuwa anaongea kwa kutetemeka kutoa majibu nje swali. Inaonyesha hali sio nzuri nzuri. Waziri wa ulinzi Peter analalamikia media sio wazakendo.
  3. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Naona pia U.S alipanga kuitumia hii vita kukata mikono Bankers of London, kitu ambacho amefanikiwa. Kawanyang'anya monopoly ya marine insurance Lloyd's of London.
  4. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    We unaona rate za casualties sharing kwenye media zinaongezeka au kupungua?
  5. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Israel ilitangaza ni marufuku ku post taarifa za uharibu zinazosababisha na makombora ya Iran, na waandishi wa nje wamezuia kufanya live coverage, na chochote kabla ya ku post idara za usalama zi review
  6. Q

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    Elimu, Elimu Elimu, kuna kitu Lowasa aliona ila hakueleweka vizuri
  7. Q

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sasa hivi taarifa zimekuwa censored, algorithm kwenye YouTube na social media platforms nyingine kwenye hii vita ni nyingi, hasa zanye damage za West
  8. Q

    Marekani yaagiza raia wake kukimbia Mashariki ya kati, Israel kuitandika Iran kabla ya Jumapili, maandalizi tayari

    Hii ishu ya Iran sio kuzima ishu ya yale yanayoendelea White House kati ya Trump na J.D Vance
  9. Q

    Marekani yaagiza raia wake kukimbia Mashariki ya kati, Israel kuitandika Iran kabla ya Jumapili, maandalizi tayari

    Hakuna Vita, kupigana vita lazima U.S angesogeza carrier battle group. Japo naona Abraham licolin inatoka East China Sea kwenda Middle East
  10. Q

    Kipi ni Bora kwako: Kununua nguo/kiatu kimoja brand/OG kwa bei kubwa au kununua copy nyingi kwa bei ndogo?

    Hili ni swala mtambuka, let's say unafanya kazi embassy, huwezi kuvaa copy. Pili lipa to, na Lingine ni cycle yako
  11. Q

    Iran yawa nchi ya Kwanza Duniani kublock StarLink

    Jamming zilizanzia kwa Urusi, baada ya kupata terminal na kuzi study. Ishu hapa ni new trade route na resource hasa Silver, baada ya kupungua kwa kasi sokoni, na ukizingatia ni raw material muhimu kwenye missile production
  12. Q

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Naona kilichokuwa attacked western Ukraine, sio tu gas storage, bali pia American oil refinery
Back
Top Bottom