Recent content by Quencher

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Issue ya rescue operation inaonekana U.S alipata hasara. Trump kasema yoyote atakaye iongelea rescue operation in a negative way atamshtaki kwa sheria ya national security
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuhusu ishu ya rescue operation, ni uongo wa kuficha kilichotokea. Taarifa zinazotoka na analysis za picha kwenye eneo la tukio (wreckage), kulikuwa na intense fighting kati ya U.S special force na Iranian Basaj force. Kilometer 150, kutoka ilipodondoshwa fighter jet, kuna Old isfahan airport...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nimegundua wachangiaji wengi (sio wote) watakuwa around 30s na wanatumia hisia kuliko fact. Ukitaka kupata picha ya hii vita, inabidi urudi 2007. The U.S. General then Wesley Clark alisema kabisa, watavamia/kuvuruga nchi 4 middle East (Lebanon, Iraq, Syria na Iran) na tatu Africa (Libya...
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii vita sasa naona imefikia mwisho, ila naona restrictions na censorship ya taarifa imekuwa kubwa hasa za damage upande wa U.S military assets na Israel. Demona Nuclear power plant,Ben gurion Airport ni sawa na kuwa demolished, Israel hawezi kupokea Direct international flight inabidi atumie...
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kilichotokea jana kwa treasury secretary ni aibu, kuitwa situation room katikati ya interview, na alivyorudi alikuwa anaongea kwa kutetemeka kutoa majibu nje swali. Inaonyesha hali sio nzuri nzuri. Waziri wa ulinzi Peter analalamikia media sio wazakendo.
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Naona pia U.S alipanga kuitumia hii vita kukata mikono Bankers of London, kitu ambacho amefanikiwa. Kawanyang'anya monopoly ya marine insurance Lloyd's of London.
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    We unaona rate za casualties sharing kwenye media zinaongezeka au kupungua?
  8. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Israel ilitangaza ni marufuku ku post taarifa za uharibu zinazosababisha na makombora ya Iran, na waandishi wa nje wamezuia kufanya live coverage, na chochote kabla ya ku post idara za usalama zi review
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    Elimu, Elimu Elimu, kuna kitu Lowasa aliona ila hakueleweka vizuri
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sasa hivi taarifa zimekuwa censored, algorithm kwenye YouTube na social media platforms nyingine kwenye hii vita ni nyingi, hasa zanye damage za West
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Marekani yaagiza raia wake kukimbia Mashariki ya kati, Israel kuitandika Iran kabla ya Jumapili, maandalizi tayari

    Hii ishu ya Iran sio kuzima ishu ya yale yanayoendelea White House kati ya Trump na J.D Vance
  12. Q

    JamiiForums Tanzania Marekani yaagiza raia wake kukimbia Mashariki ya kati, Israel kuitandika Iran kabla ya Jumapili, maandalizi tayari

    Hakuna Vita, kupigana vita lazima U.S angesogeza carrier battle group. Japo naona Abraham licolin inatoka East China Sea kwenda Middle East
  13. Q

    JamiiForums Tanzania Je, mimi ni mrembo sana au wa size ya kati?

    Wa kawaida sana
Back
Top Bottom