Aisee inauma asikwambie mtu[emoji26]. Kuna ishu nilishuhudia kwa macho yangu tena mama wa watu alikwenda sokoni na ka IST kake ndio kaonda ndinga ya dingi imepaki pembeni, mchepuko yuko ndani ya supermarket ameshajaza troll amepanga foleni ya kulipia kwa kutumia card ya mume wa...
Wengi ni wale wanaojifanya wanauwezo wa ku do na wanawake zaidi ya mmoja kwa siku, matokeo yake wanaomba maji kuongeza nanihiii.......[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sent from my LG-D959 using JamiiForums mobile app
Midume yoooote hii nikajitese na mamidoli sijui manini[emoji23][emoji23][emoji23], bora kama nimebanwa nimtafute na kumtongoza dume ili anipunguzie[emoji126][emoji126][emoji126]
Sent from my LG-D959 using JamiiForums mobile app
Hahahhaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti flat screen ngoja nitoke humu kwa huu msimu wa frog na vyura[emoji38][emoji38][emoji38][emoji41][emoji41][emoji125]
Sent from my LG-D959 using JamiiForums mobile app
Nenda kwenye ma pond au mabondeni wamejaaa, [emoji12][emoji12] natoka usije nichapa bureee[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my LG-D959 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.