Recent content by Queen lizy

  1. Queen lizy

    Kutumia flash kwenye king'amuzi

    Sorry natumia startimes Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Queen lizy

    Kutumia flash kwenye king'amuzi

    Habari Wana jf, nauliza ikiwa inawezekana kutumia flash Kwenye king'amuzi badala ya deki. Na kama ni ndiyo ntafanyaje, natumia Starting Msaada pliz Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Queen lizy

    Allocation za mkopo

    Mkuu sijajua, yaan sijui ni uongozi wa chuo ama vp Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Queen lizy

    Allocation za mkopo

    Ni kweli lakini wengine walishapata waliokuwa na sup kama mimi, so why me? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Queen lizy

    Allocation za mkopo

    Jaman naomba mnijuze tena, mimi ni mwanachuo mwaka wa 2, mpaka Sasa sijasaini hela ya kujikimu (boom) so katika ufatiliaji Kwa loan officer pamoja na waziri wake, wakasema allocation zimekuja Kwa hiyo uhakika wa kusaini sheet ikishafika upo, Sasa swali langu ni kuwa je ni kweli kuna uhusiano wa...
  6. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Thanks friend
  7. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Sawa, ngoja nifatilie
  8. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Pamoja saana mkuu
  9. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Hapana, ila kwa semister ya kwanza ndo nilsapu somo moja, but nikashindwa kuchomoza, nikawa na Cary
  10. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    No sina supp, but i have one carry for the first semester
  11. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Asante kwa ushaur
  12. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Asante kwa ushaur
  13. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Asante kwa ushauri
  14. Queen lizy

    HESLB kuna nini?

    Jaman najiona kama vile Nina bahati mbaya, hivi bodi hawakujua kuwa kuna wanafunzi wanaweza kucarry hata kwa bahati mbya , sasa wanategemea ntaishije..jaman mwenye uzoefu na hili anisaidie, Mimi ni continous student second year, first semester nikiwa mwaka wa kwanza nilipata carry Over ya kozi...
Back
Top Bottom