Recent content by Quaresma Fai

  1. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Binafsi: Sihitaji kupendwa , nnachohitaji ni kuheshimiwa tu

    Wanawake Gani.... Labda wale WA Karne ya kumi na tisa. Huyu mwamba TU sijui kakutana na janga Gani!! Ajitafakari vizuri, yawezekana alipoangukia siyo, au yeye ndiyo siyo!! Yaani hajaruka na ndege mwenye manyoya yake..
  2. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wanaume weupe wanaroho mbaya sana?

    Huyu mweusi aliemsaidia Yesu msalaba, alilazimishwa na weupe kutoa huduma hiyo.
  3. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    Umeandilka mengi na Kwa hisia Kali. Naamini ulitamani siku nyingi Rachel aingie kwenye 18zako. Hajaingia Bado. Unaamua kuelewa vibaya kwamba Rachel kaja hapa kutafuta mume, ndo maana hajaandika mengi. Ametaka TU tunaomtakia mema tumbariki Kwa kusema AMEN, ili aolewe na mme wake..!!!! Na Mimi ndo...
  4. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    Mkuu kumbuka wanaume ni wachache, kati ya hao wachache, waoaji ni wachache zaidi. Kama msichana alishuhudia wenzake kadhaaa waliochangamkia fursa na wakafanikiwa kuolewa, ni wazi kwamba hata yeye hatabaki nyuma.
  5. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    Hajaomba apate man, Ameomba aolewe. Huenda man anae tayari.
  6. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    Kwani una mchumba?
  7. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie 2025 nipate mume niolewe

    Amen
  8. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Subiri kwanza story iishe. Ndo tutajua kwamba mama Hana akili ama ana akili za ziada.
  9. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Naona mama mkwe kama moyoni mwake alipanga iwe hivo. Maana si Kwa kutoa loop hole kubwa namna Ile.
  10. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Mgeni akiingia Tanzania kwa sasa atajua Chadema ni Chama Tawala na Tundu Lissu ndiye Rais

    Sema mtoto aliezaliwa leo4, Tena mtaa wa ufipa. Kwani Kuna mgeni Gani aendae popote bila kuwa na taarifa sahihi za huko aendako?
  11. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Kung'ang'ania usipopendwa Ina maana una mapenzi ya dhati Au hauna pa kwenda?

    Siyo kweli, Kuna upendo usioheshimu hisia za anaependwa? Huu ni ukatili wa mapenzi..
  12. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Dada yangu kipenzi nakukumbusha tu!

    Dada yangu mwema .... Mkuu, twaruhusiwa kuongezea??
  13. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Mwenyewe umechonga miamba mingi na kuitelekeza ili wengine watumbukie. Madame zinazoongelea ubikra hazinaga gender balance.! Wanaume mnaolalama kutaka mabinti mabikra nani kawatoa Hawa wasichana ubikra? Je, mnaweza kukaa bila kusex Hadi mtakapooa au upwiru wenu mnautolea wapi.? Acheni kuwarubuni...
  14. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    Haki inapototea sababu waoaji wengi wanaoa madanga yao.
  15. Quaresma Fai

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania Tunakosea Wapi? Kwamba Uchumi wa Kenya ni mkubwa Mara 2 ya Tanzania?

    Mmeshaambiwa chakula si maendeleo. La sivyo Dar es Salaam ingekuwa ya mwisho kimaendeleo hapa Tanzania.
Back
Top Bottom