Saafi kama unaijua hii youtube, kwa taafia yako huyu CAG mpya alimalizwa na BOT ambako alidai kuna bilioni 70/- zimetafunwa mwisho wa siku issue yenyewe imekufa ndo maana nakuuliza umeona Zitto anakomaa nayo tena????
Udaku mwingine mpaka kinyaa.
Nilifahamiana naye tukiwa Makutopora, Dodoma mwaka 1983, sasa amezeeka na kipala juu, ila namtakia kila lakheli
Magufuli JKT Makutopora namkumbuka na namba yake 834 KJ, Dodoma 1983
Magufuli Waziri wa Ujenzi 2015
Alipigwa STOP lini wakati aliyewahi kupigwa STOP ni Lowassa lakini yeye MAGUFULI aliambiwa na Rais Kikwete azingatie sheria ona hapa:
Acha kutumika vibaya jifunze za mayuwayu, achana na matapishi
Kesi hiyo ilisamimiwa na mamtu mafisadi kina Chenge ulitengemea nini wakati Chenge ni fisadi namba moja kila mtu anajua! ulitegemea nini kesi kusimamiwa na Chenge, na ndiyo maana pale kiwanja mpaka leo hakijajengwa na ni mali ya manispaa. Pia ikumbukwe Chenge ni mtu wa Lowassa na Ocampo bin...
Ocampo ulichokiandika ni ugolo mtupu, nakuhurumia kutumika kama condom!
Pata kumjua Jembe Magufuli alivyomuombea Dkt.Kikwete kula kutoka kwa wanachama wa CCM, na ujue ndiye chaguo la wanaCCM!
Unasema hana uzoefu wa chama sasa angalia aliyewapa raha wana CCM:
Akiwa na Makamu wa Rais Dk.Mohamed Bilal, kufungua barabara ya Msoga kwenda Msolwa wilayani Bagamoyo yenye kilomita 10 Magufuli amesema kandarasi anatakiwa kukaa kuingalia barabara kwa kipindi cha mwaka mmoja kama matakwa ya mkataba yanavyosema.
Barabara imejengwa kwa fedha za ndani kiasi cha...
Ukiangalia utafiti wa Twaweza kwenye jedwari hapo juu ukafanya hesabu rahisi ya wastani wa miaka mitatu, utagundua kama ifuatavyo:
1. Mizengo Pinda : (23+14+14)/3 = 51/3=17
2. Edawrd Lowassa: (8+20+17)/3 = 45/3=15
3. Dk. John Magufuli: (8+6+5)/3 = 19/3=6.33
4. Bernard Membe: (5+4+7)/3 =16/3=...
Msafara wa Dkt.Magufuli umepataja ajali Dodoma ukitokea Manyoni baada ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya kuingia Manyoni Mjini (Manyoni Access Road) yenye urefu wa kilomita 4.8. Ajali hiyo ilihusisha gari la Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi na la Meneja wa Wakala...
Katika kukagua uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm, Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Afande Kova wamenusurika ajali ya helikopita iliyotokea leo Jijini Dsm.
Jamani tumuombe mwenyezi Mungu awalinde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.