Watu hawajafaham namna inavyofanya kazi. Mf leo nimeweka 1000/- nategemea kwa 13% mwaka mzima ni 11300/- ambapo faida ni 1300/-. Ukitaka kujua kwa mwezi nimekusanya ngap chkua hyo 1300÷12 utapata kama 108/- kila mwezi. Ukitaka kujua kwa siku unapata ngap chukua 108÷30=3.6 kila siku kama faida yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.