Recent content by QUALIFIED BIOLOGY TEACHER

  1. Q

    JamiiForums Tanzania Nimeumia sana au Sina bahati

    Natazama majina ya walio itwa kwenye usaili wa uhamiaji jina langu halipo na Sifa zote nilikuwa Nazo au Kwasababu maskini.
  2. Q

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Askari watumia Mabomu ya machozi kukabiliana na Bodaboda walioandamana wakipinga kamatakamata ya Polisi

    Baadhi ya waendesha Pikipiki ‘Bodaboda” wa Manispaa ya Kigoma Ujiji wameandamana wakidai kupinga tabia ya Askari wa Jeshi la Polisi Mkoani hapo kuwakamata mara kwa mara kuwatoza faini na wengine kudai Vyombo vyao vikichukuliwa na Askari hao kupelekwa Kituo cha Polisi hawavipati tena. Jeshi la...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

    Namshukuru Mungu kwa hatua hii kaka, mshahara mkubwa nimekuachia wewe
  4. Q

    JamiiForums Tanzania Nimelia kwa furaha baada ya kupata kazi ya Ualimu

    Siku ya Leo nimejikuta nalia kwa furaha, baada ya kupokea simu ya mtu mmoja alijitambulisha kuwa ni meneja wa shule moja ambayo niliwahi kupeleka maombi ya kazi mwaka Jana mwezi wa Tisa. Meneja yule kanambia kuwa shule yao ipo Tayari Kunipa kazi ya ualimu kwa mshahara wa laki moja na nusu...
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Nadhani wakati wa mpito huu ni mbaya sana kwangu kiakili

    Mkuu hivi sasa nipo kasulu.
  6. Q

    JamiiForums Tanzania Nadhani wakati wa mpito huu ni mbaya sana kwangu kiakili

    Salamu Wakuu, msinione msumbufu Mimi mdogo wenu. Nasumbuliwa na upweke na msongo, sijui najihisi vipi ndugu zangu. Napo waona watu nahisi hisia za kuwachukia, natamani kukaaa peke yangu zaidi. Pia wakati huu nasumbuliwa na hasira sana, kitu kidogo nakasirika sana. Naona Sina marafiki...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Nawashukuru Wana jf kwa faraaja yenu.

    Sawa kaka
  8. Q

    JamiiForums Tanzania Nawashukuru Wana jf kwa faraaja yenu.

    Wengi mmenifariji sana, nashukuru sana wakuu. Napenda niseme kitu kimoja sio Kweli Kuwa sisi graduate ni wavivu hapana, mitaani tu hapa hata kazi za ujenzi na ngumu wanapeana kwa kujuana. Wakuu mnapo ona naandika hapa, mm ni best student kwenye mwaka wetu. Kila napo shika vyeti vyangu roho...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania Hii kitu imeniuma sana, nimebeba mifuko 70 ya Cement nimelipwa 1500

    Mimi ni graduate wakuu wa moja ya chuo kikuu. Wakuu Leo nikafika bandarini kuliku na kazi ya kupakia mifuko ya cement kama 5000 kwenye gari ili isafirishwe moja ya mkoa. Sasa Kuna bro akanishitua akasema dogo twende angalau upate Hela ya kula. Aisse nimebeba mifuko kama 70 ya cements cha...
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Hili jambo linanitafuna sana.

    Nina shahada ya kwanza ya elimu na sayansi yaani bachelor of science with education mkuu. Masomo nayo fundisha ni pamoja na biology na geography
  11. Q

    JamiiForums Tanzania Hili jambo linanitafuna sana.

    Nina bachelor of science with education teaching subject yangu ni biolo Mkuu
Back
Top Bottom