Okeey
Mi sio Architect ila Hii Ramani yako nikama inavipengele.
1. Jamaa alie iandaa Alimaliza kuichora kwanza then aka type hizo dimensions. Madhara yake ni kwamba ukiinput hizo dimensions shape ya jengo inaweza change. Pia baadhi ya dimensions hapo ni kubwa sana kwa normal standard dimension...
Nianze kukujibu kwa mfano wa UJENZI wa ukuta mmoja wenye size ya
3mHeight x 3mWidth kwa 150mm thick.
Kwenye BOQ Itakua hivi 👇
Square meters = 9
Rate = 30,000
T. Amount = 270,000
Kwa Material Schedule 👇
Blocks 81 x 1,500/= 121k
Cement 1x 20,000/= 20k
Sand (bucket) 8x2.5k= 20k
Labour 81 X 600=...
Inategemeana
Kuna mtu anakuja hana hata Ramani, Cha kufanya nasikiliza specifications za Ramani anayo tamani kuwa nayo then namlink na Architect nnae fanya nae kazi
Kama tayari upo na Complete Ramani hasa Floor plan, Section details, Structural design na Elevations itanirahisishia kuandaa...
Mwana anakaa kwenye kwenye nyumba za NHC na TBA
Ambazo zinamilikiwa na GOVERNMENT
VAR CHECKING
GOVERNMENT is the group of people for the people by the people
Kwahvyo jamaa ni mmiliki halali wa hizo nyumba😅😅🫵
Watu wengi tunafail ku accomplish ndoto zetu za kujenga au tunajenga na kushindwa kumaliza kwasababu tu ya kukosa plan nzuri ya gharama katika ujenzi
Stratergical way ya ku-win financial problem katika ujenzi ni kuwa na MATERIAL SCHEDULE ya jengo linalo jengwa,,, Material schedule ni document...
Swala la kuwa na BAHARI at the same place kuwe na SHIDA YA MAJI at the same time nchi Ina bunch of WAKEMIA WAKUU kila siku wanamaliza UD hapo, ni dhahiri kuna shida pahala
Hivi ile Chemistry ya form three kwenye separation of mixture haihusiki na Kuondoa chumvi na other impurities kwenye maji ya Bahari na kuyafanya yawe safe kwa matumizi ya nyumbani?!,
Anyway mi nilikua nasoma nifaulu mtihani tu sio kwa upeo wa kuja kuipractice 😎.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.