Swali: Ukiwa Waziri Mkuu serikalini ndio nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupwa, unasemaje kuhusu hili?
Jibu: Uuzwaji wa nyumba za serikali, Rais alishauri na Baraza la Mawaziri akakubali. Kuna tume tatu zilifanyia kazi suala hili kwa muda tofauti na zote zilikuja na mapendekezo kuwa...
Tumia akili kidogo uliyonayo hoja ni kujiweka wazi Makamba kawa muwazi na ana adhabu na waliompa adhabu ndo huyu anayeaandika kwenye mawe, chunguza vizuri ila pia siwezi kushangaa ukiendelea kupinga naona upo huko, kazi kwenu watanzania!
Hii barabara ya Dodoma kwenda Iringa itakuwa mkombozi mzuri sana nakumbuka ile milima ya Nyangholo ni balaa niliwahi kupita pla eusiku sitarudia labda nihakikishiwe barabra imeisha.
Naibu Katibu Mkuu CCM Mh. Nchemba anafanya janja ya nyani kuanza kufanya kampeni, angalia chini picha na maneno yaliyoandikwa "MWIGULU NCHEMBA 2015" ukiwa unatokea DSM kwenda Mwanza hutashangaa kukuta maneno hayo yameandikwa katika majengo/nyumba, mawe n.k hasa maeneo ya Singida kuelekea Mwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.