Recent content by QGISInsights

  1. QGISInsights

    Computer4Sale Unatafuta laptop bora kwa bei nafuu? Usihangaike tena!

    Nahitaji 3... hope upo na room ya negotiation. Nitumie namba zako DM.
  2. QGISInsights

    Computer4Sale Unatafuta laptop bora kwa bei nafuu? Usihangaike tena!

    Frameless all in one desktop PC zitumie SSD unazo? Kama zipo weka bei
  3. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Mkuu sikumaanisha ni Plug and Play kama moderm - nilijibu kwamba unaweza ukashift nayo kutoka eneo moja kwenda lingine so hata kijijin huko. Vifaa ni hivi kwa mimi naona ni portable.
  4. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Sema ukweli wako mkuu.
  5. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Unatembea nayo kama moderm mkuu ila accessibility yake hata kijijini ambako mtandao haupo inafikika
  6. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Wanaoamua kwa niaba yetu ni vituko sana
  7. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Unayo hapa hapa nchini? Vipi speed yake mkuu?
  8. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Starlink connection yao ni via Satellite ambayo upatikanaji wake hata kijijini itawezekana sio mjini tu, kuhusu reviews hata wao wamesema baada ya mwaka speed itakuwa nzuri zaidi Kenya - I guess ni Technical issues, sina uhakika. Pia TTCL Fiber uweke nyumbani kwako au kama unafanya side hustle...
  9. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Matumizi yangu binafsi ya bundle kwa mwezi ni 150k na internet sio stable, starlink kwa mwezi ni KSH 6500 ambayo ni sawa na TSH 113k. Huoni ni affordable ikitoa na option ya kuconnect multiple devices?
  10. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Hivi hii roaming manake hata mahali haipo inaweza kuwa accessed ukiwa na vifaa vyao? Mfano Tanzania hawana kibali ila ukawa na global roaming means unapata huduma au sijaelewa? Naomba wajuzi mtujuze.
  11. QGISInsights

    Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink

    Naona majirani wamesharuhusu Starlink, sasa EastAfrica wapo Rwanda na Kenya. Ni nini shida na serikali yetu kushindwa kuruhusu hili ukiachana na vigezo alivyotoa Waziri visivyo na mashiko? --- Tajiri Elon musk Leo hii alasiri ameposti kwenye page yake ya Twitter aki confirm kwamba Kenya...
  12. QGISInsights

    Mo Dewji: Mimi ni Mwekezaji makini, Kampuni yangu ya Metl imeajiri Wafanyakazi 34,800 Sisi ni Waajiri Wakubwa wa pili Baada ya Serikali!

    Apewe maua yake no matter mapungufu, kutengeneza ajira na kuajiri ni kazi aiseeee🙌🙌🙌
  13. QGISInsights

    Jifunze QGIS

    Yes kiongozi.
  14. QGISInsights

    Jifunze QGIS

    Ndiyo na Hapana! Unaweza ukajifunza! Wengi hawana taaluma hii na wanafanya vizuri sana! Unaweza ukajifunza ikakusaidia kwenye masuala mbalimbali, hivyo kupunguza gharama hata za kupima ukubwa wa shamba na kutoa ramani n.k.
  15. QGISInsights

    Jifunze QGIS

    Kiongozi, nimechelewa kuona reply sikujua kama uzi wangu umesharuhusiwa kuwa hewani. Yes inawezekana kufanya Soil Analysis kupitia QGIS! Je, una sample data zozote za udongo wako zenye coordinates za eneo umechukua? sample data ziwe na taarifa kama pH, nutrients etc.. Ukiwa nazo, then naweka...
Back
Top Bottom