Jaman yan najuta hata kupenda maana kila cku mateso haya ishi ama kweli nimeamin gal akijua unampenda lazima akusumbue yani nahis kama nimebebeshwa gunia la chumvi
Eti wana jamii nifanye mazoezi gani au mlo gan nami niwe na six parts tumboni?maana huwa napenda kuwa nazo but sijui ni2mie mbinu gani kwa anayejua anielekeze!
Kaka zangu na dada zangu mdogo wenu nimechaguliwa kwiro boys PCM lakin hadi leo hii bado sijafahamu joining instruction za kwiro zinapatikana wapi.hivyo naomben msaada wenu mnijuze kama kuna mwalimu yeyote wa kwiro mnamfahamu au mwanafunzi wa kwiro mniunganishe nae wakubwa zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.