Najipanga nimuambie, ila nataka nikutane nae live, maana tangia tumemwagana sijawahi kuonana nae live. Ila inaonekana ametendwa tendwa sana, huwa naonaga status zake whatsapp. Nina hakika, hilo tatizo likiisha, hamalizi mwaka keshaolewa.
Hakuna sehemu kwenye biblia ambako umeona mwanamke akawa na waume zaidi ya mmoja, ila mwanaume anawake zaidi ya mmoja. Pia hakuna pahala ambapo mwanamume mzinzi amepewa misuko suko kwa kuwa na mwanamke mwingine, ila tunaona imeandikwa yule mwanamke amezungukwa ba watu wanataka kumpiga mawe.
Nimuingiaje sasa ili kumsaidia, si lazima nirudiane nae, lakini I just wish aweze kupata stable relationship. Ana kila sifa ya kuwa mke wa mtu, ila naona watu wanafikiria ataishije ndani na hiyo harufu.
Kuna siku nilikuwa nachat nae, basi nikamuambia kuna tatizo nitakutafuta tushirikiane kulitatua, ila nikamuomba asiniulize ni nini. Kweli hakuniuliza, akasema sawa. Ugumu unakuja, naanzaje kumuambia tutatue tatizo la kunuka k yako. Nimejikuta nimepiga kimya, nayeye hajawahi kuniuliza tena.
Habarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa...
Binafsi nimekuwa mfuatiliaji wa Siasa za ZZK kwa Kipindi kirefu sana (Tangia Akiwa University of DSM kama mwanafunzi).
Kwakutumia historia ya matukio mbali mbali aliyokwisha kuyafanya, pamoja na reaction yake juu ya uamuzi wa serikali kuzuia usafirishaji wa makontena ya mchanga nimehitimisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.