Recent content by Putenga

  1. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Hii bado sijafahamu pia ila kuna app unaweza kutumia kama vile ile ya flutterwave
  2. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Ndio mkuu, nimepata orodha ya kampuni hapa nitajaribu kuzitumia. Vipi una fahamu kampuni nyingine.
  3. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Hii ni kampuni ya nchi gani? Ipo Tanzania?
  4. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Hii pia nimeisikia ngoja nitajaribu kuicheki pia. Ahsante sana!
  5. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Hii huwa inachukua muda mrefu sana kupokea fedha kwa sababu wanafanya wire transfer au swift hivi (sina uhakika) pia gharama sio rafiki na upokea fedha hasa kiasi kikubwa kuna paperwork nyingi.
  6. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Ahaa ok! Mimi huwa napoke na kutuma sana kwenda China, UK, nchi za EU, USA na UAE. Njia nzuri itakuwa ipi?
  7. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Hii sikujua mkuu! Naomba unijuze iko vipi hii?
  8. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Lakini paypal huwezi ku withdraw hapa Bongo ni kusend tu. Lakini pia Mpesa mastercard huwezi pokea pesa au wewe ulishawahi kupokea fedha kwa kwenye kadi moja kwa moja ya mastercard?
  9. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Shukrani sana ndugu, nitajaribu kuicheki. Vipi upande wa gharama wapoje?
  10. P

    Ni huduma gani bora ya kutuma na kupokea fedha nje ya Tanzania?

    Nimekuwa napata shida sana kupata njia nzuri ya kutuma na kupokea fedha kutoka nje ya Tanzania. Kwa muda mrefu nimekuwa natumia Western Union na MoneyGram kwa sababu ni njia za uhakika na naweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa. Ila njia hizi zina changamoto zake ambazo zinanifanya niendelee...
  11. P

    Je, ni kweli Watanzania hatuna ubunifu?

    Itabidi na mimi nianze sasa kutembelea fursa.
  12. P

    Je, ni kweli Watanzania hatuna ubunifu?

    Duu jamaa umenikumbusha mbali wewe na hii Archmedes principle 😂. Ila sidhani kama kucopy bila kuleta tija kwa unaowabunia kuna faida. Huwezi kucopy kisha ukatarajia kufanikiwa.
Back
Top Bottom