Matatizo ya TANESCO sio ya Management ya TANESCO ndugu, wanasiasa kuingiza siasa zao ndio chanzo cha matatizo ta TANESCO, pili mikataba mibovu kama hiyo ndio inaigharimu TANESCO.
Hapo swala la bonasi halihusiki hata kidogo sana zaidi wivu wa kike unakusumbua ambao ni ugonjwa mkubwa uliowaingia...
TANESCO kinawataalamu waliobobea na wajuzi wa hali ya juu.
Kinacoiangusha TANESCO ni wanasiasa kuingiza siasa katika mambo ya kitaalamu na kiutendaji.
Pili ni mikataba mibovu inayopelekea TANESCO kuelemewa na mizigo ya madeni.
Tatizo la TANESCO halipo kwa wafanyakazi na watendaji wa TANESCO...
Bonasi za tanesco zinauhusiano gani hapa ama umekurupuka na wivu kwa watendaji wa TANESCO nafikiri wamelielezea vizuri kwenye magazeti ya leo ungesoma kuongeza uelewa,
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUKATWA MALIPO YA BONASI KWA WAFANYAKAZI WA TANESCO
Shirika la Umeme...
Hizi ni SIASA gharama ya uzalishaji bado ipo juu, unafahamu mpaka sasa TANESCO inazalisha megawati ngapi?
Unafahamu matumizi ya nchi kwa ujumla inahitaji megawati ngapi?
SIASA na utalamu vitu viwili tofauti, pengine unatumika KISIASA ama AKILI YAKO inamapungufu katika kufikilia
Si bule kichwa chako kitakuwa hakifanyi kazi vizuri.
Kila huduma ina service charge, watanzania tumekuwa watu wa hajabu sana TATIZO la TANESCO limesababishwa na wanasiasa wenyewe.
Mikataba mibovu waliyoingia kwa nini hawataki kuifafanyia review?
Ni vipi Capacity charge itasimishwa tusiendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.