labda simba na yanga zibadilishwe kuwa vyama vya siasa, maana parade ya timu hizi mbili ndo parade pekee kwa tanzania zinazoongoza kukutanisha watu wengi zaidi na sirikali ikawa comfortable, na wakati mwingine inayatumia haya makutano kupenyeza agenda zake, otherwise tusubiri miaka mingine60.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.