Recent content by pure infant

  1. pure infant

    JamiiForums Tanzania Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

    Probably hili kundi ndo lilikuwa la kwanza kuathirika, baada tu ya africanization.
  2. pure infant

    JamiiForums Tanzania Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

    labda simba na yanga zibadilishwe kuwa vyama vya siasa, maana parade ya timu hizi mbili ndo parade pekee kwa tanzania zinazoongoza kukutanisha watu wengi zaidi na sirikali ikawa comfortable, na wakati mwingine inayatumia haya makutano kupenyeza agenda zake, otherwise tusubiri miaka mingine60.
  3. pure infant

    JamiiForums Tanzania Sofa la Mzee Bakhressa, unapata kiwanja kizuri huko Chanika, tuendelee kutafuta pesa

    Keep moving, angalia mzee kakalia lorenzo katika umri gani
  4. pure infant

    JamiiForums Tanzania Mimi nilijitoa masomo ya sayansi. Hawa wanasayansi wa kujadili jezi za Simba na Yanga tusahau kuona uvumbuzi mpya

    Naona wanasayansi kimu wanapita kama wanaaga maiti
  5. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    Nimekuelewa vizuri sana mkuu!.
  6. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    sio uchungu mkuu nimejaribu tu kufikiria kwa sauti.
  7. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    asnte mkuu kwa mchango wako, vipi kuhusu kujiexpose mbele ya umma kama ulifyatuliwa na kukimbiwa ?
  8. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    Kiukweli aina hii ya utambulisho ni fikirishi sana mkuu.
  9. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    Bahati mbaya nilikumbuka nikiwa tayari nimeshatoka eneo la tukio mkuu! Harafu siunajua tena Afrika na ukweli ni maji na mafuta.
  10. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    umenena vema mkuu! busara ni muhimu sana!
  11. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    baba na mama wametengana, aliyeko madarakani ni mama mlezi na ndio amemkuza kijana.
  12. pure infant

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi kumtambulisha sana mama mlezi kuliko mama mzazi hata kama hukukulea?

    hakika! ila kumfanya mmoja ajiskie vibaya nao mtihani mkuu!.
Back
Top Bottom