La haula lakwata, ebwana Don kama Don niko mitaa ya Shunu hapa karibu kabisa na Mama la Mama hapa nataka nimwonyeshe meseji zako unazoandika Jamii Forums
Nimeamini watu wana roho mbaya, nyie Sukuma gang tulieni dawa iwaingie. JK yupo sana hata mumwombee kifo. Yaani mtu asiteuliwe kwa sababu ya chuki zenu...., Mbona Mwendazake alikua anatengua watu na hamkuwatetea, acheni vijana waliolelewa na Chama wapewe nafasi na bado wapo wengi watateuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.