Recent content by pulga

  1. P

    Kweli nimeamini elimu tuliorithi kutoka kwa wakoloni ni chanzo cha umasikini mkubwa sana Tanzania na Afrika kwa ujumla wake

    Umenena mambo ya msingi sana. Sema sasa serikali yako haiwezi kufanya chochote. Change begins with you bro
  2. P

    Kama haujawahi kunywa energy drinks Hongera na Jiepushe nazo. Kama umezoea kuzitumia Tafadhali weka mpango wa kupunguza na kuacha

    For the first time nilipiga ile ya Azam jioni moja hivi nilikuwa nimechoka na nilikuwa na kazi ya kufanya, bwana weeee! ckulala cku mbili mfululizo. Tuwe makini hivi vinywaji vina madhara makubwa
  3. P

    Kwanini Serikali inaonea Wafanyabishara Kahama?

    Ilishanikuta hii, mm nilifungua duka sehemu kwa mara ya kwanza na wauzaji wa blue band wakapita nikanunua mzugi wa kutosha pasipokuangalia expiry date yake. Ebwaaana! Baafa ya miezi mitatu kuja kuchungulia kumbe ishaexpai, nilipata hasara kubwa sana. Na hawa wauzaji wakikuona mgeni wanakubambika...
  4. P

    Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

    Kama fidia anayodai Membe imekuuma kamlipie deni Musiba
  5. P

    Bernard Membe usibishane na Maaskofu, samehe tu. Yule ni kichaa anastahili msamaha, hakujua atendalo

    Leo hii na ww unamshauri Membe amsamehe Musiba kweli? Hivi wakati anadhalilisha watu ulikuwa unajickiaje? Mapaka kufikia kuwaita watu mashoga na fedheha chungu nzima. Membe kazia hapo hapo liwe funzo kwa wengine
  6. P

    Wanaomtetea Musiba leo walikuwa wapi wakati anatukana watu matusi ya nguoni?

    Eti hawa nao ni viongozi wa dini my foot!! Pengo huyuhuyu alowahi mpigia chapuo Makonda kuwania uraisi?
  7. P

    Wanaomtetea Musiba leo walikuwa wapi wakati anatukana watu matusi ya nguoni?

    Na je hao wanaojiita viongozi wa dini walikuwa wapi kipindi Musiba anadhalilisha na kuutweza utu wa watu? Mbona walikaa kimya na hawakupuza sauti kukemea maovu yake? Au nao walikuwa washirika wake? Au ndo dizaini ya akina MCKenzie wa Kenya? By the way, nchi hii tunawakweza sana hawa wanaojiita...
  8. P

    Wanaomtetea Musiba leo walikuwa wapi wakati anatukana watu matusi ya nguoni?

    wanaomtetea wote ni wanafiki tu, hawana lolote.
  9. P

    Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

    Kusamehe kuna kikomo, na kipimo cha uongozi ni misimamo kama ya Membe
  10. P

    Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

    Hao viongozi wa dini ni wanafiki sana, ndo maana mwezao MC Kenzie Kenya ameua watu
  11. P

    Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

    Kuna maana gani kumdhalilisha mtu na kukimbilia kwa viongozi wa dini? Kumsamehe au kutomsamehe ni utashi wake Membe. Na tusisahau Musiba alivyomdhalilisha huyu mzee. Na laiti Magu angekuwepo sijui Membe angekuwa na hali gani muda huu? Yote kwa yote Membe alipwe fidia
  12. P

    Membe ni dini gani? Anaweza vipi kumpinga Cardinal Pengo au Askofu Malasusa?

    Hao viongozi wa dini sisi waafrika ndo twawakumbatia tu, hakuna lolote la maana walilo nalo. Ushawahi kuona mataifa yaliyoendelea yanaendekeza hawa watu? Sijui askofu , mara imamu? Ni upuuzi tu
  13. P

    TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

    Jina lake ni "Kemilembe", jina lenye maana nzuri tu kwa kihaya.
  14. P

    Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

    Mkuu pumu inanisumbua mno, nipe connection ya huyo mganga
Back
Top Bottom