[emoji1] [emoji1] mkuu, ukiwa vitani ukamuua adui alie-surrender...huu unaitwa uhalifu wa kivita! So,na mm cjiskii vbaya ninapoamua ku-play by my rules ktk biashara...hzo nyngine ni busara tu na hekima!
Kwema?
Jamani wadau, naombeni mnisaidie kufanya maamuzi leo naogopa kufanya maamuzi yangu binafsi nisije nikakosa wa kumlaumu.
Nina mwaka wa 7 sasa nafanya biashara kwenye hiki kiosk nina changamoto kubwa ya kibiashara.
Nimepanga kumshtaki mwenye nyumba wangu kwa mkewe kwa kunikopa kondom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.