Recent content by Public Prosecutor

  1. P

    Oral interview kada ya afya: tupeni feedback

    MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI 🙌
  2. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    MUNGU NI MWEMA NA MIMI NIMEPATA 🙌
  3. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nmesoma comments za member wa mwaka jana sion hata mmoja active lately ni ww tu umebaki basi ikawe kheri na sisi jobless 💯
  4. P

    Oral interview kada ya afya: tupeni feedback

    Interview yangu ni diploma ilikua na maswal 7 oral 1 introduce yourself 2 factors contributing to (kada yako)5 3 challenges facing (kada yako)5 4 determinants of health 5 5 components of risk assessment (4) 6 steps to minimize risk infection (5) 7 .......................limenitoka
  5. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi ukiitwa written unatakiwa kwenda na vyeti original pia?
  6. P

    Tujadili usaili kada ya Afisa Afya Mazingira

    Ukizingatia field practicals ni nyng Allah atutangulie 🤒
  7. P

    Tujadili usaili kada ya Afisa Afya Mazingira

    Habari wakuu, Samahani kwa mwenye uelewa wowote kuhusu usahili kwa kada ya Afisa Afya Mazingira anisaidie, pia nakaribisha wanakada wenzangu tujadili kujiandaa na usaili. SHUKRAN IN ADVANCE
  8. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wanajf nko na swal hivi job description ndo zile wameeka duties and responsibilities?
  9. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hivi mtu akitangulia oral hawez kuwaambia the rest maswali?
Back
Top Bottom