bajeti kubwa ya polisi mwaka huu ni kununulia mabomu ya machozi na virungu. magari mapya tayari yalishaletwa kujiandaa na UCHAGUZI 2015.
Mkifanya Fuji mtapigwa tu.
hakuna namna, mpigwe tu.
na yeye alisema mpigwe tu.
ni radio ya chama tawala. ni ya muda tu. miaka ya 1999 , 2000 walikuwa na kipindi chao cha Chelsea pina hakipo tena nilikuwa nafuatilia. sio hiyo tu viwanja vya mpira ni vyake jamhuri moro-dodoma, kirumba, abed amani, na vingine, maeneo unayosikia yanaitwa sabasaba na majengo yake. majengo hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.