Wakandarasi wa barabara kwa ushauli wa bule jitahidini kuchora alama kuonyesha kivuko nikiwa na mana zebra sehemu kama mashuleni, vivuko vya wanyama na waenda kwa miguu, mfano mzuri shule ya mzingi mtoni wilaya ya Temeke na sehemu nyingine nyingi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.