Recent content by PSI Factor

  1. PSI Factor

    Uamuzi wa ACT-Wazalendo unafanana na hekima ya ‘Uamuzi wa Busara’ wa TANU wa mwaka 1958

    Balozi Marwa M Maswi, Musoma Kususa mara nyingi hakujawahi kuwa suluhisho la mkwamo au mgogoro wa siasa. Hata katika mazingira fulani fulani ambapo mbinu hii imefanikiwa, kufanikiwa huko hakukutokana na kususa pekee, bali kwa kuchagizwa na mashinikizo mengine pia hususan kutoka nje. Tena mara...
  2. PSI Factor

    Dk. Bashiru Ally: Nape, Bashe wanahitaji kupikwa

    Kwangu naona ni kejeli kwa Kinana. Bashiru, nikukumbushe usingekuwa ulipo kama si Kinana! Na nikufahamishe tu, Nape anajua mengi kuliko udhaniavyo. Fikiria: > Mjumbe wa NEC Taifa miaka 15 mfululizo > Mjumbe wa Kamati Kuu - Miaka 6 > Afisa wa Chama Makao Makuu miaka 17 > Mkuu wa Wilaya...
  3. PSI Factor

    IMF Report on Tanzania: Hiki ndicho ambacho watanzania hawakupaswa kujua

    Asante mkuu, nimeipakua. Ngoja niisome kwanza
  4. PSI Factor

    Kisutu: Wapandishwa kizimbani kwa kuweka picha za ngono kupitia mtandao wa kijamii wa WhatsApp

    Yaani, sasa serikali yetu inahangaika hadi na WhatsApp groups? Hii sio kuingilia privacy za wananchi zilizo guaranteed na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Ibara ya 18)? Nachelea kusema kuwa sasa kinachofanywa ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Makundi ya WhatsApp ni private...
  5. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Si kweli. Labda kama una auto-correct imekupoteza
  6. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Sawa mkuu wangu, kanisa letu lina mazuzu. Mengine kati ya hayo unayajua wewe! [emoji1484] Mithali 26:4-6 Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye. Mjibu mpumbavu kama ustahilivyo upumbavu wake, asije akajiona kuwa mwenye hekima zaidi. Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu...
  7. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Dah, watetezi wa Magufuli kama ndo hawa mie basi tena [emoji17]
  8. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Mkuu wangu, wale wenye hoja za kutuelewesha tusioelewa endeleeni kutusaidia ili tuwe na uelewa mpana wa mambo. Nimekiri, nakerwa na michakato ya ukaguzi na kamera kanisani. Ulinzi wa Rais ni muhimu, hilo halina miadala ila wanaohusika na ulinzi wanatakiwa kujipanga ili heshima ya kuwa hilo ni...
  9. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Hayo makamera yanaudhi sana. Hadi kuna wakati mtu unahisi tupo kwenye igizo tunakuwa sehemu ya audience tu.
  10. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Umenielewa namaanisha nini. Kama unalijua Baraza la Walei utaelewa namaanisha watu gani. Lakini, Pascal Mayalla ameeleza kwa uzuri tofauti ya Nyerere na Magufuli. Nilitarajia treatment ileile ya Nyerere/Mkapa kwa Magufuli pia
  11. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Nimeona niwasemee wale wanaoendelea kusali St. Peters. Hata huko kusini alikoenda ni mwendo wa kanisa kuwa mateka kwa muda. Sielewi lengo hasa ni nini.
  12. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Yaani kanisani ni hekaheka tupu. Huko kukaguana sasa! Utadhani tupo vitani
  13. PSI Factor

    Kanisa Katoliki, Magufuli ni muumini kama waumini wengine! Vinginevyo toeni ufafanuzi kwa umma

    Inasikitisha, inahuzunisha kuwa Kanisa Katoliki limeamua kuiacha hii hali iendelee. Taratibu za kanisa zinavunjwa, watu wanasauliwa na kukosewa heshima kisa muumini mwenye madaraka ya Rais ameingia kanisani. Nimelazimika kuacha kusali St. Peters sababu ya harassments zinazofanywa na walinzi wa...
Back
Top Bottom