kama kungekua na ushaidi wa kimazingira .. ningekubaliana nae lakini wa maneno matupu?? ametoa picha za watu wenyeminyololo anasema sio lazima iwe zanzibar?? kwenye ubongo wake ameamini biashala ya utumwa ni mwarab tu.... kongo watu walivishwa izo na hakukua na mwarab picha katoa wapi hizi...
mimi ili nikubalianr na pasco naomba vita moja tu kati ya mwarab na mwafrika ...maana mzungu na mwafrika ni hii maji maji... slave trade 90% ni mzungu mpaka hapa ushaidi wa kimazingira unaonesha aliusika mzungu kote alipopita mpaka mkunazini unguja chini ya nyumba ya kuabudia
umeelewa sasa maana yangu?? sikua na maana mbaya ya kukushauli kua na subra kipindi hiki ni bora sana kuliko muda wowote uliopita.... (lisemwalo lipo kama halipo laja)... wamesamehewa kwisha .. sasa tuone swali lako je? chama chao kita watambua? wakishinda? ...na mimi nimekukumbusha najua unajua...
chama hapa tz kina nguvu kuliko mgombea kabla na baada ya kuchaguliwa... chama kikikupokonya kadi yako ya uwanachama wewe unapoteza moja kwa moja nafasi uliyonayo kupitia chama... hata magufuri akipokonywa kadi na kuambiwa sio mwanachama anakua sio rais .... sembuse m/kiti wa mtaa?? ataivyo...
leo tumeamka na habari mpya ...waziri kasema walioenguliwa waludishwe ..ndio maana nikasema lisemwalo lipo kama alipo laja. pupa ni jambo la kua na halaka sio tusi. umeona?
w
wanakuaje na vigezo? ikiwa kwanza wamekosea kuja fomu.. pili hawana chama? je? wagombea binfsi wameanza kuruhusiwa tz? ama kweli siku ya kutembea uchi ndio hiyo hiyo utakutana na mkweo .fedhea kubwa hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.