Zabron alikuja kusoma, alipenda maisha ya mteremko akapata shangingi la ki Zaire likamuweka Zabron ndani akipigia mahesabu ya uraia baada ya shule. Alipopata maambukizi kilinuka ndipo alianza kuwaambukiza wabongo. Habari ya kuoa bila kupima si alikuwa mtoto wa kigogo ametoka Ulaya nani amsumbue.
Kama immune system ni nzuri ndiyo, Mimi niliaza kusumbuliwa na ngozi, dermatologists alisema ni eczema kumbe ngwe ngwe bwana. Zaidi ya hapo I was just fine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.