Habarini za mda huu ndugu zangu, kule Mbeya wilaya ya Kyela kata ya Ipinda kuna mwamba anatengeneza hii kifaa kwasabu nimeona nikasema nije kuwaeleza ndugu zangu ili badaye tusije laumiana kusema cjawambia.
HAYA WATU WA MBEYA
UGONILE!
[emoji23][emoji23]..kwanza sikai posta ila mara nyingi huwa napita pita sana pia nimekuja hapa ili wenye uzoefu waniambie kama walisha kutana na hawa ndugu zetu wahubiri kwa maenei hayo tajwa
Wengine siyo wakujibizana nao mkuu ... mawasiliano yapo pale kama alikuwa na uhitaji angepiga... kwasabu mda wakuingia jf tuna pata mara chache ndiyo maaana nkasema mwenyekuhitaji serious awasiliane ...
Ni muda mrefu kidgo umepita nimekuwa nikifuatilia kufahamu jambo japo binafsi nlikuwa najiuliza viji maswali ya hapa na pale kuna mda pia nikqjisemea labda mimi bado cjamaliza maeneo ya posta na viunga vyake .....niseme ukweli cjawahi kutana na hawa ndugu zangu wahubiri maeneeo yale kama ilivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.