Recent content by profmazungu

  1. P

    Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

    😂 😂 😂 😂 siku hizi bangi Kama matembele tu. I Yaan chalinze uifananishe na makao makuu ya mikoa tajwa hapo juu, daah. pale Chalinze si bush kabisa. kila siku napita pale, kijijini ndani kabisa
  2. P

    Yanga SC msingewafunga Singida United Leo.. Dunia Ingesimama.

    Yanga mnachonga hadi mnakera, anyway sio mbaya tukutane 30/9
  3. P

    Halmashauri ya manispaa ya Geita kuanzishwa

    Geita. Halmashauri ya mji wa Geita imeongeza kata tatu na kuifanya kuwa na kata 16 ikiwa ni mchakato wa kutaka ipande hadhi na kuwa manispaa. Kata zilizoongezwa ni Nyanza yenye mitaa mitano, Mwatulole yenye mitaa mitano na kata ya mkolani. Akizungumza katika kikao maalum cha ushauri cha wilaya...
Back
Top Bottom