😂 😂 😂 😂 siku hizi bangi Kama matembele tu. I Yaan chalinze uifananishe na makao makuu ya mikoa tajwa hapo juu, daah.
pale Chalinze si bush kabisa. kila siku napita pale, kijijini ndani kabisa
Geita. Halmashauri ya mji wa Geita imeongeza kata tatu na kuifanya kuwa na kata 16 ikiwa ni mchakato wa kutaka ipande hadhi na kuwa manispaa.
Kata zilizoongezwa ni Nyanza yenye mitaa mitano, Mwatulole yenye mitaa mitano na kata ya mkolani.
Akizungumza katika kikao maalum cha ushauri cha wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.